AL SADY OLPLANER
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 294
- 211
SERA YA MAPENZI kwa vipindi tofauti..!
MIAKA YA:
1986-1990. Ukimtongoza binti, alikuwa akijibu
"NIMEKUBALI ila usimwambie mtu..!"
MIAKA YA:
1991-1995. Walikuwa wakijibu
"NIMEKUBALI lakini namwogopa Baba na Mama watajua..!"
MIAKA YA:
1996-2000. Walikuwa wakijibu
"NIMEKUBALI lakini sitaki kufanya mapenzi mpaka unioe..!"
MIAKA YA:
2001-2005. Walikua wakijibu
"NIMEKUBALI lakini tutumie Condom..!"
MIAKA YA:
2006-2010.Walikua wakijibu
"PESA yako 2, maneno sitaki..!"
Balaa liko hapa...!
MWAKA:
2011-2015. Wanajibu
"NIMEKUBALI lakini haupo peke yako..!"
MWAKA
2015-2016
Hainaga ushemeji tunakulaga[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
2016-2017
Mapenzi mubashara
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Je, Kipi kipindi kizuri kati ya hivi??
MIAKA YA:
1986-1990. Ukimtongoza binti, alikuwa akijibu
"NIMEKUBALI ila usimwambie mtu..!"
MIAKA YA:
1991-1995. Walikuwa wakijibu
"NIMEKUBALI lakini namwogopa Baba na Mama watajua..!"
MIAKA YA:
1996-2000. Walikuwa wakijibu
"NIMEKUBALI lakini sitaki kufanya mapenzi mpaka unioe..!"
MIAKA YA:
2001-2005. Walikua wakijibu
"NIMEKUBALI lakini tutumie Condom..!"
MIAKA YA:
2006-2010.Walikua wakijibu
"PESA yako 2, maneno sitaki..!"
Balaa liko hapa...!
MWAKA:
2011-2015. Wanajibu
"NIMEKUBALI lakini haupo peke yako..!"
MWAKA
2015-2016
Hainaga ushemeji tunakulaga[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
2016-2017
Mapenzi mubashara
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Je, Kipi kipindi kizuri kati ya hivi??