The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Cc ngapi??Mkuu zipo ist za 1.8L japo ni chache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc ngapi??Mkuu zipo ist za 1.8L japo ni chache
Mleta mada,Wakuu naomba mnipe mawazo kidogo kati ya hizi gari ipi itafaa kwa mizunguko ya mjini tu, ukizingatia muonekano na ulaji wa mafuta
Nafahamu hilo ni kama probox na succeed ni gari moja ila kuna utofauti kidogoBrother,
Hii ni gari moja, sema wametofautisha tu majina.
Yaani the earlier model (allex) was simply tweaked kidoogo.
Kwahiyo toyota modified the back storage compartment with an upward-swinging door.
Ndipo sasa the new modifications ikaleta the birth of Corolla FX hatchback; ambayo was later assigned na a new brand name, yaani Runx
1.8L(CC-1797) sasa ichukulie poa ikuoneshe!Cc ngapi??
Mzee IST zipo Cc 1290 na 1490 tuuIst cc 1200
Na Runx ya cc 1700..
Tofauti ni kubwa Sana hapo
Runx zipo za 1800cc pia ambazo zimegawanyika makundi mawili. Kuna zenye injini ya 1ZZ-FE for economy, na zenye 2ZZ-GE for performance.Mzee IST zipo Cc 1290 na 1490 tuu
Na Runx zipo za 1490 tuu
Mimi nina Runx 1790 CC na IST new model zile pia zipo mpaka 1790 CCMzee IST zipo Cc 1290 na 1490 tuu
Na Runx zipo za 1490 tuu
Huu ndo uzuri wa Jamiiforums. Kuna yadi ya kuuza magari pale morocco, ukiwa mataa kuelekea mwenge, kama mita 70 tu upande wa kulia kuna bango. Na kuna barabara inaelekea kulia, ukipinda pale mita 30 hivi ndipo yadi ilipo.Zote hizo ni takataka!
Zote hizo ni takataka!
Kila mtu ajikune anapofikinia, sasa hata akiipenda BUGAT, wakati hana uwezo wa kuinunua si atakua mpumbavu.Sema haya mawazo ya kimaskini sana eti consumption ya mafuta ikufanye umiliki kitu usichokipenda
Hv runx kwa pua ile ndo muonekano maridadi? DuuhZota zina injini aina moja, nz family. Kwahiyo tofauti kubwa ni body tuu. So utachagua kwa kigezo cha body maana perfomance zinafanana. Kwangu ningechukua Run x maana ina muonekano maridadi kuliko hizo nyingine
Imekaa kama kiatu Cha mtoto mchangaRactis hapana sio imara sana
Leo ndio naiona hii thread yangu. Ngoja nitoe mrejesho, kwanza nashukuru sana kwa ushauri wenu wakuu ulinisaidia sana katika kuniongoza kuchagua gari sahihi kwa matumizi yangu kipindi hicho.Wakuu naomba mnipe mawazo kidogo kati ya hizi gari ipi itafaa kwa mizunguko ya mjini tu, ukizingatia muonekano na ulaji wa mafuta