Unapendelea chakula gani unapofuturu

Unapendelea chakula gani unapofuturu

Hahaha umetishaaa sanch' chungu cha mwisho itabidi tunywe chupa nzima za uji..lol
hahaha na uwezi amini sijui nini hiki; kila siku napiga vikombe si chini ya 3 mpaka 4 na apo ni sababu uji wao unakuwa siyo wa quality iyo nayotaka Mimi.

Usijali mpaka idd tupikie pilau lenye binzal masal na gigilan kama zote.
 
hahaha na uwezi amini sijui nini hiki; kila siku napiga vikombe si chini ya 3 mpaka 4 na apo ni sababu uji wao unakuwa siyo wa quality iyo nayotaka Mimi.

Usijali mpaka idd tupikie pilau lenye binzal masal na gigilan kama zote.
Wewe unafaa kabisaa kukaribishwa asee,..unakula mpaka mpishi naenjoyy😍😍
 
Wewe unafaa kabisaa kukaribishwa asee,..unakula mpaka mpishi naenjoyy😍😍
Asikuambie mtu kwenye biashara ya chakula ukiwa na unique yako taste unapika vizuri; mtu atatoka uko alipo atavuka migahawa mingi njiani kufuata chakula chako

Kuna mama mmoja magomeni makuti ana pika wali maharage wa nazi na samaki sio pouwa Dada angu. Apo jioni kuanzia saa mbili usiku watu hawa hesabiki.

Iki nitokeaga mida ya saa mbili mbili nipo mitaa iyo ya magomeni lazima ni kali ubwabwa wake wa nazi na maharage na samaki.
 
Asikuambie mtu kwenye biashara ya chakula ukiwa na unique yako taste unapika vizuri; mtu atatoka uko alipo atavuka migahawa mingi njiani kufuata chakula chako

Kuna mama mmoja magomeni makuti ana pika wali maharage wa nazi na samaki sio pouwa Dada angu. Apo jioni kuanzia saa mbili usiku watu hawa hesabiki.

Iki nitokeaga mida ya saa mbili mbili nipo mitaa iyo ya magomeni lazima ni kali ubwabwa wake wa nazi na maharage na samaki.
😂😂😂😂Hatarii fayaa...mapishi ubunifu na manjonjo flan flan hivii,.hapo usikute ni kitu kiduchu tuu kakiongeza basi watu mkiwa ofisini mnawaza wali wa migomigo woiii
 
😂😂😂😂Hatarii fayaa...mapishi ubunifu na manjonjo flan flan hivii,.hapo usikute ni kitu kiduchu tuu kakiongeza basi watu mkiwa ofisini mnawaza wali wa migomigo woiii
haha ni hatari faya kweli; pale mabibo hostel kuna mpemba anapika chipsi wanafunzi wanajaa kweli mtu yuko radhi asubir dk 30 wakati vibanda vya chipsi ni vingi. Jiulize mpemba anaweka nini kwenye chipsi? Udambwi dambwi unasaidia sana ktk chakula.

Siku mambo yakikaa vizuri itabidi ni sett location yangu amazing, siku iyo ikiwadia ntaja omba maushauri toka kwako. Mbunge wa kibaha ndio imemtajirisha yule mchaga na alianza kimasihara
 
haha ni hatari faya kweli; pale mabibo hostel kuna mpemba anapika chipsi wanafunzi wanajaa kweli mtu yuko radhi asubir dk 30 wakati vibanda vya chipsi ni vingi. Jiulize mpemba anaweka nini kwenye chipsi? Udambwi dambwi unasaidia sana ktk chakula.

Siku mambo yakikaa vizuri itabidi ni sett location yangu amazing, siku iyo ikiwadia ntaja omba maushauri toka kwako. Mbunge wa kibaha ndio imemtajirisha yule mchaga na alianza kimasihara
Naisubiri hiyo siku kwa humu...
 
Asalaam Alaykhum,.za jioni wapenzi wa mahanjam,masotojo,madiko-diko,.wale wapendao kula vilivyo bora na sio bora kula tuu nawasalim tenaa "asalaam Alaykhum,waalaykhum salaam"😊
Haya,.mida ndio hii ya kuelekea kupata iftar yetu kwa wale mlojaaliwa kufunga basi inshaallah Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi,..sasa em tujuzane wakati huu wa ramadan wewe unapendelea kufturu nini hasa,.Mimi leo nimepata fursa ya kumuandalia mteja iftar mahsusi ya vitu hivi simple;

~uji wa mchele wenye pilipili manga
~chapatti za maji/Mayai
~kebab,samosa ya nyama na vitumbua
~chai ya viungo(green tea)
~magimbi na mihogo ya nazi
~maharage ya viungo+Nazi
~korosho za viungo(special oda)
~sauce ya nyama yenye pilipili
~tambi plain na juice ya matunda fresh......MashAllah😋

Em niambie tafadhali,wewe unapendelea iftar ipi hasa wakati huu wa ramadan,.Ikinipendeza basi chungu/funga ya mwisho inshaallah nipike tujumuike wote.

Wabillah Tawfiq.

~MC~
green tea
chapati za mayai
maharage ya viungo+nazi
 
Mother Confessor nakutafuta toka juzi sikupati; Leo muirack katuandalia cake ya idd lifitir wateja wake.
IMG_20190605_083833_602.JPG
 
Back
Top Bottom