Unapiga side hustle gani kukuingizia kipato?

Unapiga side hustle gani kukuingizia kipato?

Isenye

Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
97
Reaction score
628
Mko vizuri wakubwa?

Tupeane mbinu za kuishi aisee,tuambiane apart from your permanent job unapiga side hustle gani kujiongezea kipato?

Binafsi i did bachelor of Commerce in Accounting chuo flani hapo dar,nikatafuta kazi za fani yangu nikakosa nikaanza kupiga kazi za sales and marketing.

Haikua rahisi kucopy na hizi kazi but as time goes on unaona tu kumbe mambo ni rahisi tu,so nikaja nikajiona kazi ninayofanya inanipa uhuru sana hivyo badala ya kuutumia huo uhuru vibaya better nitafute kitu kingine cha kufanya.

Bahati nzuri sehemu ninayokaa kuna shule flani ya secondary ilikua na uhaba wa walimu wa Commerce na bookkeeping, nikaomba niwe part time teacher wa masomo hayo husika,wakanikubalia mshahara tulianza nao ni laki 5 ila saivi wameniongezea nachukua laki 7.

Kuna bonus ndogo ndogo kama vile kila A ya Necta ya masomo yangu wananipa 20k,kila B wananipa 15k,mock nayo wanatoa 15k kwa 10k na mwaka huu nimezikomba hatari.so kiukweli naweza sema nayamudu maisha kiaina against all odds.

Ebu kila mmoja wetu nae ajaribu kushare side hustle yake hapa wenzetu nao wajifunze kuliko kutegemea kipato kutoka sehemu moja tu.
 
Mkuje basi wakuu mnipe tenda za niwatengenezee madirisha na milango ya Aluminium..

Waleteni pia vijana wenu tunawafundisha mpaka waweze kila kitu ( Welding + kutengeneza madirisha na kila kitu ) kwa Laki3 tu🙏🙏
 
Kwa nature ya kazi nayofanya sina kabisa muda wa kufanya side hustle. Kuanzia saa 2 asubuhi hadi 11 jioni siku sita za wiki.
Nimebaki kufuma mikeka na mara moja moja forex ila sishauri mtu afanye kama huna roho ngumu au pesa za mawazo.
 
Mko vizuri wakubwa?
Tupeane mbinu za kuishi aisee,tuambiane apart from your permanent job unapiga side hustle gani kujiongezea kipato?
Binafsi i did bachelor of Commerce in Accounting chuo flani hapo dar,nikatafuta kazi za fani yangu nikakosa nikaanza kupiga kazi za sales and marketing, haikua rahisi kucopy na hizi kazi but as time goes on unaona tu kumbe mambo ni rahisi tu,so nikaja nikajiona kazi ninayofanya inanipa uhuru sana hivyo badala ya kuutumia huo uhuru vibaya better nitafute kitu kingine cha kufanya.bahati nzuri sehemu ninayokaa kuna shule flani ya secondary ilikua na uhaba wa walimu wa Commerce na bookkeeping, nikaomba niwe part time teacher wa masomo hayo husika,wakanikubalia mshahara tulianza nao ni laki 5 ila saivi wameniongezea nachukua laki 7.kuna bonus ndogo ndogo kama vile kila A ya Necta ya masomo yangu wananipa 20k,kila B wananipa 15k,mock nayo wanatoa 15k kwa 10k na mwaka huu nimezikomba hatari.so kiukweli naweza sema nayamudu maisha kiaina against all odds.
Ebu kila mmoja wetu nae ajaribu kushare side hustle yake hapa wenzetu nao wajifunze kuliko kutegemea kipato kutoka sehemu moja tu.
Sichagui hustle.. Napiga yoyote yenye uhalali 50% uharamu 50%.. Kwakuwa mwisho wa siku naangalia napata nini kwenye nini
Every single penny counts..!
 
Back
Top Bottom