Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
Mkuu nyoosha maelezo kupiga miguu yote kumaanisha mwenye starehe mbili??!ππNahitaji mwanamke pisi kali mwenye kupiga miguu yote
πππyule jamaa wa buguruniπ π€£π€£Umenikumbusha ile kipindi Mkuu Mshana Jr alipotea jukwaani halafu sijuwi likafanyika tukio gani vile la kijambazi kuna mtu akakamatwa.
Watu aaaaaah mshanaaa mshanaa, dah nimetoka nayo mbali hii jeiefu.
Brother unapatikana wapiMkuje basi wakuu mnipe tenda za niwatengenezee madirisha na milango ya Aluminium..
Waleteni pia vijana wenu tunawafundisha mpaka waweze kila kitu ( Welding + kutengeneza madirisha na kila kitu ) kwa Laki3 tuππ
Brother tenaπ,.Brother unapatikana wapi
πππBrother unapatikana wapi
Mshahara kadanganyaMpwayungu Village njoo huku kuna mwalimu eti anapiga hela!
Dalali gani sasa hujachangamka!Mkuu nyoosha maelezo kupiga miguu yote kumaanisha mwenye starehe mbili??!ππ
Lingeitwa beberu sasa sista unapatikana wapi, we.. huu uzi asaivi tungeongea una peji sio chini ya kumi.Brother tenaπ,.
Anyways karibu niko Songea Mkuu
this idea applies to those who came from poor families. hebu nambie Riziwan kapitia pain gan kuwa pale alipo kama sio kabebwa na babake ambae ashasafisha njia?No pain no gain
kuna tofauti gan kati ya winga na dalali?Mimi napiga udalali wa vitu used lakini pia ni winga......
kabla ya saa 11 gari anakua nayo mtu mwingne au?Mimi kila saa 11 jioni mpaka saa 4 usiku siku za kazi huwa napiga uber jumamosi na jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 10 jioni,sikosi hivyo vielfu 50 vya mafuta na kunywa bia mbili tatu.
kuna tofauti gan kati ya winga na dalali
kuna tofauti gan kati ya winga na dalali?
Hamna utofauti inategemea TU na mazingira inapotumika....kwa mfano ukiwa kwenye bidhaa mpya masokoni hasa hasa kariakoo winga ndio hutumika sana...ila ukija kwenye uuzaji wa mashamba, magari na vitu vingine used labda dalali ndio hutumika zaidikuna tofauti gan kati ya winga na dalali?
Na mimi sina side hustle another meaning of side hustle ni namna fulani ya kuishi kiwiziwiziUzi mzuri sana naimani watu watatoa shule sana na wengine tujifunze, binafsi sina side hustle