Unapishana na mkeo bafuni guest house unaanzaje???

nampa talaka! au ajabu mwanamke kutoa talaka? maana mpaka sasa nahisi tu naibiwa cjakutana na hata mwizi mmoja walau nifahamu wakoje, wanatofauti gani na mm!

Basi ukiona hujakutana na mwizi wako ujue mme wako ni mtaalam wa infidelity...
 
hako ka taulo katanipa bladi presha kweli. R.I.P klorokwini.
 
M ningempa mwanaume mwenzangu ahsante kwa kunisaidia sijui hili wazo wana jf
 
Ahsante ipi? mbona unanitia mashaka hapo? Yaani mkeo ampe na wewe umpe? LOL!
hehehe huyu kijana kama yupo sirias basi ni mtu mmoja muhimu wa kupanga nae urafiki, inaonekana anaweza akakuzawadia hata mke wake siku anazofurahi heheheheheh
 
inabidi hapa mbadilishane wewe uchukue chako na wale wezi waendele pamoja
 
hehehe huyu kijana kama yupo sirias basi ni mtu mmoja muhimu wa kupanga nae urafiki, inaonekana anaweza akakuzawadia hata mke wake siku anazofurahi heheheheheh

The Following User Says Thank You to klorokwini For This Useful Post:
Chrispin (Today)
 


du hommie mbona unatoa siri za ILANI yetu kwa wapinzani? :closed_2:
 

Kula 5 mukubwa...!!japo sina meno tena...imenikumbusha ujasiri nilokuwa nao...!!
 

hahahahaha chrispin nimekupa thanks sio kwamba umenifurahisha ..No no No ila umenichekesha sana na vitabia vyako ..are you crazy :shock:
 
hehehe huyu kijana kama yupo sirias basi ni mtu mmoja muhimu wa kupanga nae urafiki, inaonekana anaweza akakuzawadia hata mke wake siku anazofurahi heheheheheh

What if kama hajaoa?
 
What if kama hajaoa?
hehehe kamanda kumbe upo hai? ni kitambo sijashuhudia post zako au unahubiri kupitia PM?, kama hajaowa anaweza hata akakuzawadia rafiki wake wa kike , ukisoma post yake namba 23 peji ya pili ya huu mjadala utagundua kuwa jamaa ni mkarimu zaidi ya baba teresa.
 

Nipo kiongozi! Ila kwa leo mimi ni ''fast learner''...nahisi huyo jamaa anaweza kuwa kwenye kundi la akina Boflo! Au ???
 
Nipo kiongozi! Ila kwa leo mimi ni ''fast learner''...nahisi huyo jamaa anaweza kuwa kwenye kundi la akina Boflo! Au ???

kusisitiza hii post yako! jamaa kaanzisha sredi ya kujadili makalio ya wanaume, sijui umeipitia? heheheh acha tuuchune tu bana. invizibo siku hizi mara anakuja na sheria ya "gender calling" anakupeleka segerea bila dhamana.
 
kusisitiza hii post yako! jamaa kaanzisha sredi ya kujadili makalio ya wanaume, sijui umeipitia? heheheh acha tuuchune tu bana. invizibo siku hizi mara anakuja na sheria ya "gender calling" anakupeleka segerea bila dhamana.

Nimeiona mkuu....!! Nikapata vigugumizi kwenye vidole nikashindwa kuchangia!
 
  1. Kwa utulivu kila mtu akavae nguo
  2. Kisha mtachukua usafiri wa pamoja wa kwenda nyumbani
  3. Mkifika nyumbani inabidi kutafakari kwa pamoja mustakabali wa ndoa

Asa we ka hujamega na ndo ulikuwa unajiandaa? Si afadhali ubaki umalizie?
 

Mi naona hapo ngoma droo, inategemea, kama ilitokea tu bahati mbaya, tusamehane tuendelee kulea watoto, kama ilikuwa ni kwamba kila siku choko choko haziishi ndani ya nyumba, bora kila mtu hapo achukue time yake.

Samahani kutoka nje ya topic, we ni Nyani Ngabu? Au ume-copy na ku -paste signature yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…