plagiarism
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 133
- 296
Binafsi kero kubwa nayo pitia hapa mtaani ni njia za kupita hasa kipindi cha mvua, na barabara inakuwa mbovu sana.
Wewe je, unapitia ipi hata kama ni ya mtaani/ofisini/nyumbani?
Wewe je, unapitia ipi hata kama ni ya mtaani/ofisini/nyumbani?