Unapitia kero gani mtaani kwako?

Unapitia kero gani mtaani kwako?

plagiarism

Senior Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
133
Reaction score
296
Binafsi kero kubwa nayo pitia hapa mtaani ni njia za kupita hasa kipindi cha mvua, na barabara inakuwa mbovu sana.

Wewe je, unapitia ipi hata kama ni ya mtaani/ofisini/nyumbani?
 
Back
Top Bottom