Unapitia Maisha magumu ebu jifunze kwa huyu kiumbe

Unapitia Maisha magumu ebu jifunze kwa huyu kiumbe

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
FB_IMG_15966584507345016.jpg
 
Hivi hilo tunda lina nini ndani yake au Lina faida gani...!!???

Maana mwanzo wa filamu hadi mwisho analikimbiza hata likiingia kwenye theluji yuko radhi agande.

Huyu sio kama shida anajitakia mwenyewe .......🤔🤔🤔🤔
Na hayakogo mengi haya matunda eeehhhh...... 😛
 
ila jamaa ata abondwe vip huwa hafi,,, ilipata demu yule demu akalishobokea ilo tunda daaah alivyomchenjia
 
Hivi hilo tunda lina nini ndani yake au Lina faida gani...!!???

Maana mwanzo wa filamu hadi mwisho analikimbiza hata likiingia kwenye theluji yuko radhi agande.

Huyu sio kama shida anajitakia mwenyewe .......[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Na hayakogo mengi haya matunda eeehhhh...... [emoji14]
hata katika maisha halisi anaipenda sana hiyo mbegu, ni kama paka na samaki.

mule kavishwa uhusika namna anavyotahamaki akijua yuko karibu na hiyo mbegu, huwa ana vurugwa sana.
 
huyu jamaa nayeye na wale wenzie ndio wanamuongezea kibano.
Thats Oscar, nikiicheki hii katuni jinsi wenzake wanavyompa kibano [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Hiyo series inaitwaje? Nilibahatika tu kuiona kidogo kwa jilani nilikuwa na haraka nataka niitafute
 
Cha ajabu mwanangu hawezi kuangalia hiyo katuni,anaogopa hayo macho yake
 
Back
Top Bottom