Unapoandika hisia zako WhatsApp ukafuta, wenye WhatsApp GB wanaona ulichokosea, endelea kukosea ulikuwa sahihi

Unapoandika hisia zako WhatsApp ukafuta, wenye WhatsApp GB wanaona ulichokosea, endelea kukosea ulikuwa sahihi

Sikulazimishi bruh!!!

Wengi waliokuwa banned na w'app walisema tatizo lilikuwa hilo,kuchelewa ku-update kwa wakati,lakini nakosa logical kwanini usubiri hadi ikatae kabisa na bado uone ni kitu kizuri hata wenzio wakiige?
Kuna sababu nyingi za kuwa burned. Sijawahi ona mtu amekua burned kwa kuto update. Juzi kati kuna jamaa zangu watatu gb ziligoma kufanya kazi kwao. Kuangalia version walikua nyuma sana kwenye 12. huko wakati sasa ivi tupo kwenye 17.57 na wakati huo ilikua 17.55. Niwapa app wakaonstall ikapiga kazi. Kuwa burned maana yake hio namba haiwezi sajiliwa na whatsapp kabisa. Sasa kuwa burned mara nyingi ni kukiuka mashart ya whatsapp mfano, kuweka settings nyingii ambazo zipo kwenye gb ila whatsapp ya kawaida haina
 
Bora wewe huachi alama[emoji2], asa kuna mingine inaview bila kuonekana na inareply si ushamba huo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kila mtu na tafsiri yake ya ushamba. Kukaa kuchungulia status yako ili ujue nani kaona ni ushamba mwingine. Natumia whatsapp gb, ila pia nime off read recipient. Sitaki kujua nan ka view status yangu nami sitaki wajue kama nime view. Post zangu ni za biashara tu
 
Mimi nikigundua una WhatsApp Gb nakublock au nafuta namba zako!!
Kuna mmama alipiga pic ya utupu kwa camera ya mbele na sura lake linaonekana pamoja na mpodido, akataka kumtumia mchepuko akashangaa kalituma tumbua status [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wakasave, akaja kupigiwa simu na mtoto wake wa kike afute baada ya mume wa mtoto wake kuliona!!!

Sema japo mamá age go ila katuzidi had mabinti afu alivaa shanga toleo jipya hahaaaaa!! [emoji2222][emoji2222]
Nimecheka Sana [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
1.Niaje Jembe langu (akafuta)
2.Niaje Askari (akafuta)
3.Niaje The Bump (akaiacha hii)

Kuingia nikaona msg zilizofutwa nikawa najiuliza sasa kwan alikosea wapi? mbona hamna msg au salamu mbaya kati ya 1 na 2?

Nilichogundua tupo ulimwengu watu wengi wana mashaka na urafiki wao kwa mtu,undugu,ujirani yani watunwanamashaka kila mahali.
 
GB whatsapp ya muhimu sana, WHATSAPP official n kama upo kifungoni au mtu ana control simu yako.

Anakutumia picha unasema utaziangalia badae ukirudi unakuta kashazifuta,uboya huuu.

GB whatsapp raha tuu futa ufutavyo ukishakusanya daftari ndio ishapita hyo hamna marekebisho.
 
Mimi nikigundua una WhatsApp Gb nakublock au nafuta namba zako!!
Kuna mmama alipiga pic ya utupu kwa camera ya mbele na sura lake linaonekana pamoja na mpodido, akataka kumtumia mchepuko akashangaa kalituma tumbua status 😂😂😂😂
Watu wakasave, akaja kupigiwa simu na mtoto wake wa kike afute baada ya mume wa mtoto wake kuliona!!!

Sema japo mamá age go ila katuzidi had mabinti afu alivaa shanga toleo jipya hahaaaaa!! 🤸‍♀️🤸‍♀️
Kwa nini apige pic ya utupu? Shida inaanzia hapo
 
Kila mtu na tafsiri yake ya ushamba. Kukaa kuchungulia status yako ili ujue nani kaona ni ushamba mwingine. Natumia whatsapp gb, ila pia nime off read recipient. Sitaki kujua nan ka view status yangu nami sitaki wajue kama nime view. Post zangu ni za biashara tu
Sawa,, huenda Mimi ni mshamba zaidi
 
Mimi sio mtumiaji wa gb wasap tangu zinatoka natumia offficial whatsapp sasa kuna group bamdogo wangu aliliunda kwa ajili ya kuunganisha wafanya biashara ili tuweze share idea mbali mbali za kijasilia mali na bahati mbaya tulikuwepo ndugu kadhaa humo akiwemo bamkubwa bahati mbaya akakosea akatuma sticker ya utupu ikabidi bamdogo ndo aombe radhi eti ni typing error daah imagine halafu ni bamkubwa ndo alituma alileft muda huohuo[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom