MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Mimi binafsi nikienda duka lolote huwa na bargain kwa bei ya kupewa risiti, tukifikia muafaka huwa naulizg hii bei tuliyo kubalia bila risiti itakuwa shilingi ngapi?, akinitajia nafanya malipo naondoka na mali.
Hii nchi ukiweza kukwepa kodi kwepa tu
Hii nchi ukiweza kukwepa kodi kwepa tu