Usiudharau mwanzo wa jambo lako lolote lile...unapofanya jambo unaloliamini usiangalie watu watalionaje,wewe pekee yako ndio una ramani ya kule unapopaona kuhusu jambo lako...im sure usikatishwe tamaa,hata kama umefanya several times as long as unapassion ya kufanikiwa katika hilo i swear u will make it and one day it will pay u....ipo siku nakwambia litakulipa tu hata kama near friend hawakusupport dont concentrate with them,final they will appriciate u......