mbwana semsimbazi
Senior Member
- Sep 5, 2013
- 196
- 202
Pale unapokuwa umefulia sana alafu mgeni anakutembelea maskani yako. Unaamuaa kuchukua ile sh. 600 iliyobaki na kwenda kumnunuliaa soda, unaondoka na chupa mbili unanunua fanta moja kwa ajili ya mgeni na ile chupa ya sprite unaijaza maji ili ukirudi uweze kumpa kampani mgeni.
Unafika sebuleni mgeni anakwambiaa fanta huwa situmii nipe hiyo sprite.
Utafanya nini?
Unafika sebuleni mgeni anakwambiaa fanta huwa situmii nipe hiyo sprite.
Utafanya nini?