DON SINYORI
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 511
- 417
AhsanteNamwambia hapa hujaja kunywa soda sema kilichokuleta
Acha mawazo ya kimasikini. We believe utakua na hela nyingi..ukiamka asubuhi, unavaa, unaondoka akilini waza utapiga Bingo that day.Pale unapokuwa umefulia sana alafu mgeni anakutembelea maskani yako. Unaamuaa kuchukua ile sh. 600 iliyobaki na kwenda kumnunuliaa soda, unaondoka na chupa mbili unanunua fanta moja kwa ajili ya mgeni na ile chupa ya sprite unaijaza maji ili ukirudi uweze kumpa kampani mgeni.
Unafika sebuleni mgeni anakwambiaa fanta huwa situmii nipe hiyo sprite.
Utafanya nini?
Na hilo ndo la busara..huwezi ukakurupuka kununua kitu ambacho sio choice ya mgeni. Au kwanini asikimbie fasta dukani kwenda kubadilisha...kwanini usimuulize mgeni wako anakunywa soda gani kabla hujaenda kununua hiyo soda
mambo mengine kujitakia tu