Kuna kipindi nilienda lll mkoani huko ,
Sasa Jiran nahome kuna kituo cha Afya..
Alikuwepo Nurse wakike, kaolewa
Yeye kila siku akawa anamuambia mumewe ,wamempangia zamu ya usiku
Siku zikaenda wee, Watu wakamtonya Mume wa Nurse kua mkeo anabanduliwa na Jamaa .
Anavyokuaga yupo kazin huwa hayupo.
Siku za mwizi 40 alisema JPM, jamaa siku hiyo akatonywa, akaamua kuja na mwanawe kuzuga km mwanawe anaumwa, kufika hapo, Mkewe hayupooo.
Jamaa akarudi home, baadae tena saba usiku akarudi , mkewe hayupoooo
Akaamua kurudi kulala, anakakuta kadem et ndio kamefika na vinguo vya kazin.
KUNA WATU WANAPIGA[emoji23][emoji23][emoji23]
DEMU ALIPIGWA KIPIGO,SIJAWWH ONA, ALIPIGWAAA
NYIE WATU, DEMU ALIPIGWA MPAKA AKAWA ANAUNGURUMA KAMA MBWA ANAYETAKA KUFAA,.PIGWA SANAAAAAAAAAAAAA .
Alivyopona, Jamaa likamuacha kabisa.