cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hakika kabisaaah.Kwakweli inaumiza sana, unajitunza vizuri kumbe mwenzako anahangaika ovyo nje anakuletea magonjwa.
Mtu unaweza kuchukua maamuzi magumu kwa hasira na uchungu wa kuumizwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika kabisaaah.Kwakweli inaumiza sana, unajitunza vizuri kumbe mwenzako anahangaika ovyo nje anakuletea magonjwa.
Mtu unaweza kuchukua maamuzi magumu kwa hasira na uchungu wa kuumizwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolKuna kipindi nilienda lll mkoani huko ,
Sasa Jiran nahome kuna kituo cha Afya..
Alikuwepo Nurse wakike, kaolewa
Yeye kila siku akawa anamuambia mumewe ,wamempangia zamu ya usiku
Siku zikaenda wee, Watu wakamtonya Mume wa Nurse kua mkeo anabanduliwa na Jamaa .
Anavyokuaga yupo kazin huwa hayupo.
Siku za mwizi 40 alisema JPM, jamaa siku hiyo akatonywa, akaamua kuja na mwanawe kuzuga km mwanawe anaumwa, kufika hapo, Mkewe hayupooo.
Jamaa akarudi home, baadae tena saba usiku akarudi , mkewe hayupoooo
Akaamua kurudi kulala, anakakuta kadem et ndio kamefika na vinguo vya kazin.
KUNA WATU WANAPIGA[emoji23][emoji23][emoji23]
DEMU ALIPIGWA KIPIGO,SIJAWWH ONA, ALIPIGWAAA
NYIE WATU, DEMU ALIPIGWA MPAKA AKAWA ANAUNGURUMA KAMA MBWA ANAYETAKA KUFAA,.PIGWA SANAAAAAAAAAAAAA .
Alivyopona, Jamaa likamuacha kabisa.
Inaumiza sana kwa kweli.Ujinga na ukatili, imagine mtu anamuambukiza mke wake mwisho wa siku wote wanaumwa wanabaki watoto wakiteseka
Mie kuna mrembo mmoja yeye alikuwa mkweli tuu aliniambiaga mzabzab kwanza papuchi haisuswi alafu pia yeye kugegedwa na mtu mwengine kupo tuu. Yule mrembo tulienjoy kinomaa yaani katika vitu nilivyothamini kwa huyo mrembo ni ile openess yake.Hongera zako bro.
Ukiwa na imani kama hii huwezi kuja kuachana na mke wako.
Wanaotengana kwa zaidi ya asilimia 90 sababu huwa ni kuchapiwa.
Huwa nawapenda Wamasai hata wakikuta rafiki yako amechomeka mshale anashugulika na mkeo, wao wanachukulia poa na maisha yanaendelea.
Wanaume tuna haja ya kujifunza na kubadilisha mitazamo yetu
kuna rafiki yangu alijiua ajili ya hii kitu, bt kwa upande wangu ikinipata nitachukua tahadhari za kiafya then mengine nitamuachia mungu maana dunia inachallenge nyingi sana hata usipougua utakutana na zingine ngumu zaidi.
Hii kitu Ni mbaya sana.Na kuna watu wengi hupata magonjwa kwa style hiyo, kuna wengine wakishagungua wamebeba maradhi nje huko hawawi wawazi kwa wenza wao wanaona ni bora waishi wote katika hali hiyo. Kwa kukusudia na kujua kabisa hali sio shwari kwake anaamua amfiche mwenza wake na mwsho wa siku anamuambukiza (huu ni ujinga uliokithiri).
Kumbeee🤔🤔🤔Maamuz gani utachukua wakati una kibendi? We ni kuvaa barakoa na.kujifukiza tu huku ukinywa antibiotics.
Tuvumiliane jamani,.kipindi cha kubeba mimba ndio.kipindi ambacho watu wengi huonja kazi za nje sababu ya ugwadu 😂😂😂
Kuna aliyeniambia mchukulie mwenza wako kama kito cha thamani, huwezi kuitupa pete yako ya dhahabu na tanzanite kisa imeanguka kwenye kinyesi. Niliyatafakari maneno yake lakini nemeona niwaletee wananzengo hii mada tuijadili.
Aliyeniambia hii sentensi na mama wa miaka 60 na amedumu kwenye ndoa kwa miaka 35 mpaka mume wake alipofariki. Ilinifanya nitafakari sana.Nimependa hii aya ya mwisho, nimchukulie mwenzangu Kama kito cha thamani kikidondokea kwenye kinyesi nitakiokota, kukisafisha na kuendelea kukitumia, naomba Mungu anipe moyo huu kwa mume wangu jamani😢,,
Huko kwingine hata sitamani kupajadili maana inauma jamani
Hii ndio fallacy kubwa hapa duniani kuwa mwenza akichepuka atatumia kinga🤣🤣🤣🤣Unajua ile panic/stress inaweza sababisha unafanya hata kitu cha hatari bila kujielewa.
Sasa nyie kama mnaenda kukitembeza nje huko si muwe mnatumia kinga basi kama unajijua una mke ndani, mnajiendekeza sana mnajua
Mradi akumbuke kinga tu jamani, hata akienda gegeda jimama huko nje😀Hii ndio fallacy kubwa hapa duniani kuwa mwenza akichepuka atatumia kinga🤣🤣🤣🤣
Yaani mwenza atakae chepuka na kutumia kinga ni yule anayeenda kugegeda malaya.
Hapo nikujifariji tuu maana tatizo kubwa linaanza na nyie wanawake....kwa experience yangu wanawake ni wwpesi sana kukubali kugegedwa bila kingaMradi akumbuke kinga tu jamani, hata akienda gegeda jimama huko nje😀
Kwa mwanamke anayejitambua na kujali afya yake hawezi ruhusu kuhatarisha maisha yake hivyoHapo nikujifariji tuu maana tatizo kubwa linaanza na nyie wanawake....kwa experience yangu wanawake ni wwpesi sana kukubali kugegedwa bila kinga
Ni sentensi yenye kutia moyo sana katika magumu na ukiiweka kichwani ukafall in love ukiwa nayo Basi lazima mfike mbali, imebeba maana kamili ya upendo wa agapeAliyeniambia hii sentensi na mama wa miaka 60 na amedumu kwenye ndoa kwa miaka 35 mpaka mume wake alipofariki. Ilinifanya nitafakari sana.
right mkuuMaisha ni safar ndefu
Lakin mahusiano ni chaka zito
Hamna mwanaume anayejitambua hapa duniani akishinda nguvu ya shetani....hapo utakuwa wajidanganyaKwa mwanamke anayejitambua na kujali afya yake hawezi ruhusu kuhatarisha maisha yake hivyo
Hamna mwanaume anayejitambua hapa duniani akishinda nguvu ya shetani....hapo utakuwa wajidanganyaKwa mwanamke anayejitambua na kujali afya yake hawezi ruhusu kuhatarisha maisha yake hivyo