Unajua ile panic/stress inaweza sababisha unafanya hata kitu cha hatari bila kujielewa.Maamuz gani utachukua wakati una kibendi? We ni kuvaa barakoa na.kujifukiza tu huku ukinywa antibiotics.
Tuvumiliane jamani,.kipindi cha kubeba mimba ndio.kipindi ambacho watu wengi huonja kazi za nje sababu ya ugwadu πππ
But you must plan how to cross it beforehand, or else you will be too late then.I'll cross the river when I reach the bridge
Ujinga na ukatili, imagine mtu anamuambukiza mke wake mwisho wa siku wote wanaumwa wanabaki watoto wakiteseka
Sio fair kabisaUjinga aufanye mwenyewe lakini maumivu anaona ni sahihi myapate wote, hakika inaumiza sana. Mwingine anakuambukiza makusudi ili aseme wewe ndio chanzo na umemuambukiza pia na akijua fika hadi matibabu alishayaanza.
Sio fair kabisa
Kwani mke akiwa na mimba haipiti jomonii...??!πMaamuz gani utachukua wakati una kibendi? We ni kuvaa barakoa na.kujifukiza tu huku ukinywa antibiotics.
Tuvumiliane jamani,.kipindi cha kubeba mimba ndio.kipindi ambacho watu wengi huonja kazi za nje sababu ya ugwadu πππ
Ingekua zile siku za kununua line ya simu kama karanga, ungenunua line uwandike ujumbe na maelezo yote kwa rafiki yako. Ukimaliza unaitupa line.kuna wakati fulani wa zamani sana..
rafiki yangu alikuwa na demu wake mzuri kupita kiasi na alipanga hadi kumuoa!!
kuna siku huyu rafiki yangu alisafiri katika mishe zake na huyu mchumba wake alimfungulia saluni..
siku moja alikuja rafiki yangu mwingine alikuwa ametoka sudan huko alikuwa katika kaz za udereva...
hawa jamaa wawili wote ni my best friends lakini wao kwa wao si friends.
basi katika pita pita zetu huyu jamaa wa sudan akamuona yule dem wa msela wangu akaanza kudondosha mate na nikamweleza kwamba ishu ni msela wangu na anajenga nae future!alikubali usoni ila akili yake haikumpa akapambana hadi akapita nae na akamvuruga pande zote..
jamaa wakati ananipa stori amemchakata hivyo nilichukia sana ila sasa nikakosa namna...
mara paap yule mchumba wa yule dada amerudi.
baada ya siku 2 jamaa kaniita ananiambia maswaibu yalompata kapata GONO si la nchi hii na huko alikuwa na mishe zake hakuchepuka!!
anasema amempiga sana dem wake aseme alitafunwa na nani lakini hakusema!!
daahh nili feel guilt sana ila sikuwa na jinsi.
alimtema yule dada na saluni akaichkua.
Condom kwa mke wako sasa utajiachia wapi?Kwanza utamshukuru mungu ajakuletea ukimwi,utamuita utamueleza najua Kama mwanamkee atakana katukatu,mtaenda hospital mtibiwe wote,then from hapo ntatumia condom nikitaka kujamiana naee....maana sio muaminifu Tena kwangu
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Haina Budi maana sio muaminifu,Ila na amini mwanamke ataimia Sana na atabadilikaCondom kwa mke wako sasa utajiachia wapi?
How can I estimate the deepth of the river?But you must plan how to cross it beforehand, or else you will be too late then.
Dah I can feel.....umeharibu future ya watu indirect na pasipokutegemeakuna wakati fulani wa zamani sana..
rafiki yangu alikuwa na demu wake mzuri kupita kiasi na alipanga hadi kumuoa!!
kuna siku huyu rafiki yangu alisafiri katika mishe zake na huyu mchumba wake alimfungulia saluni..
siku moja alikuja rafiki yangu mwingine alikuwa ametoka sudan huko alikuwa katika kaz za udereva...
hawa jamaa wawili wote ni my best friends lakini wao kwa wao si friends.
basi katika pita pita zetu huyu jamaa wa sudan akamuona yule dem wa msela wangu akaanza kudondosha mate na nikamweleza kwamba ishu ni msela wangu na anajenga nae future!alikubali usoni ila akili yake haikumpa akapambana hadi akapita nae na akamvuruga pande zote..
jamaa wakati ananipa stori amemchakata hivyo nilichukia sana ila sasa nikakosa namna...
mara paap yule mchumba wa yule dada amerudi.
baada ya siku 2 jamaa kaniita ananiambia maswaibu yalompata kapata GONO si la nchi hii na huko alikuwa na mishe zake hakuchepuka!!
anasema amempiga sana dem wake aseme alitafunwa na nani lakini hakusema!!
daahh nili feel guilt sana ila sikuwa na jinsi.
alimtema yule dada na saluni akaichkua.
Wengine wanakutesa kisaikolojia, hasa mkiwa na watoto. Ananunua chakula na mahitaji yote ya watoto. Kama nyumba ni kubwa anahama chumba, kampeni hizi nyumba zetu za msajiliwa majumba usiku anaweka godoro sebuleni.Kuna kipindi nilienda lll mkoani huko ,
Sasa Jiran nahome kuna kituo cha Afya..
Alikuwepo Nurse wakike, kaolewa
Yeye kila siku akawa anamuambia mumewe ,wamempangia zamu ya usiku
Siku zikaenda wee, Watu wakamtonya Mume wa Nurse kua mkeo anabanduliwa na Jamaa .
Anavyokuaga yupo kazin huwa hayupo.
Siku za mwizi 40 alisema JPM, jamaa siku hiyo akatonywa, akaamua kuja na mwanawe kuzuga km mwanawe anaumwa, kufika hapo, Mkewe hayupooo.
Jamaa akarudi home, baadae tena saba usiku akarudi , mkewe hayupoooo
Akaamua kurudi kulala, anakakuta kadem et ndio kamefika na vinguo vya kazin.
KUNA WATU WANAPIGA[emoji23][emoji23][emoji23]
DEMU ALIPIGWA KIPIGO,SIJAWWH ONA, ALIPIGWAAA
NYIE WATU, DEMU ALIPIGWA MPAKA AKAWA ANAUNGURUMA KAMA MBWA ANAYETAKA KUFAA,.PIGWA SANAAAAAAAAAAAAA .
Alivyopona, Jamaa likamuacha kabisa.
Hivi hawa wanaume wanaoamini kuwa mwanamke ni wako peke yako ni wa sayari gani? Kuna mambo mengi ya kijinga nafanyaga lakini hili lakijiaminisha kuwa demu wangu hagegedwi siwezi fanya.kuna wakati fulani wa zamani sana..
rafiki yangu alikuwa na demu wake mzuri kupita kiasi na alipanga hadi kumuoa!!
kuna siku huyu rafiki yangu alisafiri katika mishe zake na huyu mchumba wake alimfungulia saluni..
siku moja alikuja rafiki yangu mwingine alikuwa ametoka sudan huko alikuwa katika kaz za udereva...
hawa jamaa wawili wote ni my best friends lakini wao kwa wao si friends.
basi katika pita pita zetu huyu jamaa wa sudan akamuona yule dem wa msela wangu akaanza kudondosha mate na nikamweleza kwamba ishu ni msela wangu na anajenga nae future!alikubali usoni ila akili yake haikumpa akapambana hadi akapita nae na akamvuruga pande zote..
jamaa wakati ananipa stori amemchakata hivyo nilichukia sana ila sasa nikakosa namna...
mara paap yule mchumba wa yule dada amerudi.
baada ya siku 2 jamaa kaniita ananiambia maswaibu yalompata kapata GONO si la nchi hii na huko alikuwa na mishe zake hakuchepuka!!
anasema amempiga sana dem wake aseme alitafunwa na nani lakini hakusema!!
daahh nili feel guilt sana ila sikuwa na jinsi.
alimtema yule dada na saluni akaichkua.
Hongera zako bro.Hivi hawa wanaume wanaoamini kuwa mwanamke ni wako peke yako ni wa sayari gani? Kuna mambo mengi ya kijinga nafanyaga lakini hili lakijiaminisha kuwa demu wangu hagegedwi siwezi fanya.
I see. Your expertise always comes at the ^very unluckliest^ moment. I guess you're so favored to have nobody as your noble supporter during your extremity.How can I estimate the deepth of the river?
I ain't an expert ....When I arrive at the river I'll know what to do....