Unapohisi umemchoka mpenzi wako.

ukimchoka unaenda kwa kidumu unapunguza stress then unarudi kwako mambo yanakuwa sadwata!

Hata wewe dokta wa ukweli,
Mmm wateja wa kidumu ni wengi sana...........
 
ulishawi achika na ukaa kwa muda kama mwaka hujapata wa kueleweka?so kumbukia hicho kipindi nadhani ulimwona shehe Yahya wa maana pale channel 10

????!!
????!!
????!!
 
Nahisi kumchoka mpenzi wako kunatokana na kurudia matendo/mazingira hayo hayo kila siku. Inaweza kuepukwa kwa kubadilusha matendo/mazingira yetu.Sio lazima uende nje ya mji/ufukweni/safari. Mnaweza kutoka jioni au mwisho wa wiki na kutembea au kutembelea jamaa.

Unapogundua "mood" ya mwenzako imebadilika, jaribu kumridhisha kwa kutenda jambo jipya iwe chakula, mapenzi, mazungumzo, michezo ya mezani n.k.

Ukweli ni kuwa kila mtu ni peke yake kimawazo, kitabia, kwa hiyo hakuna ufumbuzi wa "cut-to-all-clothes", la kufanya ni kumsoma mwenzako anayopenda/asiyopenda na kujaribu kuielewa hiyo hali. Mara nyengine hata kimya kinaweza ufumbuzi, inategemea.
 
LD unaenda ukirudi, unakuta mwenzio ndani, anakuuliza ww ni nani? nikusaidie nini?
 
Sema ndo mpaka hiyo safari ieleweke ni safari ya jinsi gani, manake unawenza ukaliazisha lingine.

na kweli, badala ya kusolve tatizo unaweza jikuta unaliongeza. Lol!
 
Hapo kuna kitu umekiongea nadhani watu hawajakiona au hawajanyambua hiyo spring season.Naona kama kuna ukweli kidogo
According to facebook status updates, break ups happen mostly around spring breaks and the months leading up to Christmas.

 

mpenz wngu amekua mtamu kias kwmba kumchoka n ndoto
 
LD unaenda ukirudi, unakuta mwenzio ndani, anakuuliza ww ni nani? nikusaidie nini?

Ha ha ha ha ha, umenichekesha suzy!!!!
Wanawake tulivyokuwa na..................

Uwiiiiiiiiii tuwage na uvumilivu tu kwa kweli!!!
 
Husninyo mimi hii khali naiona kabisa hv kumbe huu upepo hua unapita dah kweli inachanganya kweli ucpokua makini kweli mahucano ndo yanaishia hapo.kweli maisha ya mahusiano ni safari ndefu isiyo na mwisho.
 
Hii hali imekuwa ikitokea kwangu na wife mara kadhaa tena inadumu hata wiki mbili mwisho tunaelewana tu, ila si kuchokana bali kupishana lugha ktk maamuzi fulani... n.k, mimi nadhani wakati mwingine mmoja lazima ajishushe ili mambo yakae sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…