Unapoishi sasa mpaka nyumbani kwenu ni kilometer ngapi?

Unapoishi sasa mpaka nyumbani kwenu ni kilometer ngapi?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ukiishi mbali na nyumbani lazima utafikiria ni vipi utasolve ishu ya nauli endapo ikitokea dharura mfano msiba unaokutaka usafiri instantly kwa maana Akiba kuweka zimetushinda na huwez kuwa na hela siku zote wewe sio bank.

Kwa waliozaliwa Dar na kwao Dar na wanaishi Dar kwao umbali sio Changamoto, sisi wa mkoani Kutoka ulipo sasa mpaka kwenu ni km ngapi na nauli yake uwe na shingapi chap. Kwa mimi nina km 1150 na inahitajika zaidi ya 80,000/=
 
Ukiishi mbali na nyumbani lazima utafikiria ni vipi utasolve ishu ya nauli endapo ikitokea dharura mfano msiba unaokutaka usafiri instantly kwa maana Akiba kuweka zimetushinda na huwez Kuwa na hela siku zote wewe sio bank.

Kwa waliozaliwa dar na kwao dar na wanaishi dar kwao umbali sio Changamoto sisi wa mkoan Kutoka ulipo sasa mpaka kwenu ni km ngapi na nauli yake uwe na shingapi chap kwa.Mimi nina km 1150 na inahitajika zaidi ya 80,000/=
Bila shaka wewe kanda ya ziwa!
Mimi km mia tano na kitu
Screenshot_20240121-141321_Maps.jpg
 
Kwanza hakuna bus la moja kwa moja .Mpaka nishuke Dom ndio nipate mabasi ya kwenda Nyumbani 60,000/= na vichenga chenga nafika.
 
Haya Mambo ya misiba yanapaswa kuya taftia ufumbuzi kwani imekuwa ni kero kwelikweli

Fikiria kwa mfano mtu anakaa dar msiba unatokea rungwe mbeya

kutoka dar mpaka rungwe mbeya ni 80000/=kwenda na kurudi 160000/=na hapo ni kwa
mtu mmoja

bado hujawa shika mikono ndugu na jamaa ambao huja onana nao huko kijijini bado huja beba chochote Cha kufika nacho msibani bado mke,watoto, ukijumlisha ni pesa nyingi mno

ambayo ungeituma Inge saidia kununua sukari,sabuni,chumvi,chakura,na hata vinywaji pale msibani

na Cha ajabu unakuta mgonjwa kafa kwa kukosa dozi ya maralia

kuna mtu aliwahi kusema hivi,..

laiti Kama mgonjwa angetembelewa na idadi sawa na na idadi ya watu walio fika msibani after his/her death

Basi mgonjwa angepona bira dawa kwa faraja ambayo angeipata
 
Ukiishi mbali na nyumbani lazima utafikiria ni vipi utasolve ishu ya nauli endapo ikitokea dharura mfano msiba unaokutaka usafiri instantly kwa maana Akiba kuweka zimetushinda na huwez kuwa na hela siku zote wewe sio bank.

Kwa waliozaliwa Dar na kwao Dar na wanaishi Dar kwao umbali sio Changamoto, sisi wa mkoani Kutoka ulipo sasa mpaka kwenu ni km ngapi na nauli yake uwe na shingapi chap. Kwa mimi nina km 1150 na inahitajika zaidi ya 80,000/=
Hili mada inahusu local people wenye akili ndogo na upeo mdogo waliozaliwa Tanzania na wanaishi Tanzania na watafia Tanzania na kuzikwa Tanzania.Haihusu Diaspora .
 
Back
Top Bottom