Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan wanaume aina ya mdakachozi wa auntie wapo wachache sana jamaniKweli kabisaaa
Hapana bebee, chagua nafasi moja tu.Bebee
Mimi nafit kote,ntakuwa mdaka chozi na Main
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisaBebee
Mimi nafit kote,ntakuwa mdaka chozi na Main
Hahaha hahaha hahaha hahahaSema sasa kila ninapomkuta ni anatafuta vimwana, atanitoa roho huyu[emoji134][emoji134][emoji134]
Ebu nieleweshe basi kamweneWe hujui
Mie hata siwatakiiYaaan wanaume aina ya mdakachozi wa auntie wapo wachache sana jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ebu nieleweshe basi kamwene
Kinganganizi ruba kasingiziwaHahaha
Kwanini siachiki?
We[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa
Hahhahaha ndio inabidi umvumilie ndio mzigo wakoSema sasa kila ninapomkuta ni anatafuta vimwana, atanitoa roho huyu[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kamwene bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi wewe
Huwa nawatania tuSema sasa kila ninapomkuta ni anatafuta vimwana, atanitoa roho huyu[emoji134][emoji134][emoji134]
Huu mzigo itabidi nitafute mdaka chozi wa kumsaidia.Hahhahaha ndio inabidi umvumilie ndio mzigo wako
Sasa mimi nikipewa kuna ubaya gani? mi ni babu lazima nihurumiwe... Sina nguvu tena sio nyie mnafanya kama mnaranda mbaoNa wanawake mnafahamu fika hili huwa linatuuma zaidi ya kuuma. Daby unajitutumua kuomba kila siku na vizawadi vyako kila kukicha ila mwisho wa siku anapewa Asprin kiurahisi bila hata kutumia nguvu.
NB: mwanaume kama hili halijawahi kukuuma jichunguze.
Weeee mmasai huyu hapelekeshwi, muone hivyo hivyo.
Na sio kila abishaye hufunguliwaSio kila aombaye hupewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]