Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kumekuwa na tabia ya watu kujibana bana pale wanapokuwa kwenye mahusiano, au kwenye tendo la ndoa; na kupelekea upande mwingine kutokufurahia mahusiano yaliyopo.
Na hii inapelekea kuwa na migogoro mingi kwenye mahusiano, kama wapenzi kuachana, kupigana, kurushiana maneno n.k.
Kinachotakiwa kufanyika katika mapenzi ni kujitoa ufahamu ili uweze kufurahia uhusiano uliopo.
Unapokuwa kitandani jitahidi sana kujitoa ufahamu, weka aibu pembeni, na uumpe yote mpaka akinai, na atosheke.
Baada ya kufanya hivyo, utuletee mrejesho.
Naishia kusema: Mpe yote mpaka akinai
Na hii inapelekea kuwa na migogoro mingi kwenye mahusiano, kama wapenzi kuachana, kupigana, kurushiana maneno n.k.
Kinachotakiwa kufanyika katika mapenzi ni kujitoa ufahamu ili uweze kufurahia uhusiano uliopo.
Unapokuwa kitandani jitahidi sana kujitoa ufahamu, weka aibu pembeni, na uumpe yote mpaka akinai, na atosheke.
Baada ya kufanya hivyo, utuletee mrejesho.
Naishia kusema: Mpe yote mpaka akinai