Unapokutana na mpenzi wako, mpe yote!

Unapokutana na mpenzi wako, mpe yote!

Dah. Bora ayo hivi vimisukule hapana aisee.

Ngoja nianze jichanganya na mimi.
Kudate nao inataka akili sana Kwa uzoefu wangu mdogo
Wanataka uwe na heshima flan sio mtu wa kuongea ongea usiwe na mazoea mazoea nae sana mawasiliano yawe purposive sio kila mda

Ukiwa mpambanaji ni rahis akakuunganisha na network ila kama we ni goalkeeper kila kitu akupe atakukazia mapema

Faragha wanapenda utulivu 😁 mwanzon nliteseka sana nlikuwa siwezi vua nkakaa dkk 5 naangalia uchi wa mdada lazima nimuanze chap chap lkn yy mnavua mpo naked mtapiga story hata nusu saa ndo muandaane mkulane
 
.....unaweza ukajidanganya sana....Mwanadamu hakuumbiwa kutosheka kadiri anavyopata ndivyo anavyotaka zaidi..assume umempa yote kama unavyosema halafu akataka zaidi utampa nini?...
Ishi katika ujumla wa maisha, kuna kufurahia, kuhuzunika n.k (totality of life)......there is your space, siyo lazima umfurahishe Kila mtu na kila wakati..ishi kikamilifu.
...........................................................................

WAKATI MWINGINE NI VIZURI KUKUMBUKA ULIUMBWA PIA KWA AJILI YAKO.
 
Actually ukiona sikuachii matumizi ujue haunifurahishi, hatakama nimekuoa, nakuwaga na hasira sana nikiona mtu nimemthamini halafu analeta masiala kunako 6x6
 
Waume wameweza kuwaaminisha wanawake kuwa mbususu zao Ni tamu!

Kwa Imani hio mwanamke anabania mbususu ili awakomeshe wanaume wasiotekeleza matakwa ya mwanamke ipasavyo!

Wanaume wawe wakweli Sasa
Wanawake Wana haki ya kujua kuwa utamu apatao mwanamume unatoka kwenye viungo vyao vya kiume!

Tuanze Sasa kuiheshimu mikuyenge yetu kwa kazi mzuri ya kututengenezea utamu wakati tunachakata mbususu!

Hivi iweje mkuyenge wako unakufanyia kazi ya kutiririsha mbegu za uzazi, na wakati huohuo unakutengenezea utamu, halafu wewe ukimaliza hapo unamsifu kahaba wako eti ana mbususu tamu!

Wanaume tumelogwa haki ya Nani!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom