Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Oya mnawatoaga wapi hawa?Mashangazi wapo vzr kwenye kukupa yote unachakata mpaka unaacha mwenyewe.
Wabarikiwe mnoo mishangazi,,,wala haina Utovu wa nidhamu kazi ni kukujaza mahamu tuu,,Masafii na matamuuu mnoo!!!Mashangazi wapo vzr kwenye kukupa yote unachakata mpaka unaacha mwenyewe.
Hamna anaepanga kua na shangazi pia usihangaike kutafuta we dili na mambo yako utakutana nao TU mfano Mimi:Oya mnawatoaga wapi hawa?
[emoji23][emoji23]Ndio ufala huu uliojaa vichwani mwa vijana halaf ndio maisha magumu yaache kuwaandama!!! Fakeni kabisaa
Dah. Bora ayo hivi vimisukule hapana aisee.Hamna anaepanga kua na shangazi pia usihangaike kutafuta we dili na mambo yako utakutana nao TU mfano Mimi:
Wa kwanza; alikua mwalimu wa shule secondary nlikuwa namsaidiaga kuandaa matokeo hakuwa mzoefu wa excel, akawa ananiunganisha na walimu wengn nawafanyia kazi wananilipa nkawa nampa commission kidogo aisee nkipewa 20000 Nampa hata 5000 hv aisee alikua anafurahi acha tu mwisho wa siku tukadate
Wa pili; mtendaji wa serikali ya mtaa
Wa tatu; nyumba za kupanga
[emoji23][emoji23]
😂😂😂PambanaDah. Bora ayo hivi vimisukule hapana aisee.
Ngoja nianze jichanganya na mimi.
Ndio kilichobakia. Hivi U-20 umiza kichwa aisee.😂😂😂Pambana
Ebu fanya mambo hapo😂😂😂Pambana