Unapokuwa faragha na watu hawa hakikisha unatumia kinga

Hebu fafanua hapo,
Kupendwa vizuri ndio kukoje? yani ukifanyiwa nini ndio inatafsirika kua unapendwa vizuri?
😂😂😂😂unataka nijiongelee mimi au niongelee na wengine

hapo ni full package kuna kila kitu 😂 kama huamini muulize mpenzi wako au mkeo ili uone unapendwa vizuri au nakupenda vizuri nifanyeje utapata majibu🌚
 
USIOE KAMA SIO BIKRA
 
😂😂😂😂unataka nijiongelee mimi au niongelee na wengine

hapo ni full package kuna kila kitu 😂 kama huamini muulize mpenzi wako au mkeo ili uone unapendwa vizuri au nakupenda vizuri nifanyeje utapata majibu🌚
Sio issue ya kuamini,

Nataka ujiongelee wewe coz wewe ndio umesema,
Halafu issue au tafsiri ya ''Kupendwa vizuri'' haiwezi kua na tafsiri/maana moja kwa wanawake wote.
 
Sio issue ya kuamini,

Nataka ujiongelee wewe coz wewe ndio umesema,
Halafu issue au tafsiri ya ''Kupendwa vizuri'' haiwezi kua na tafsiri/maana moja kwa wanawake wote.
exactly kila mtu ana maana yake ndo maanna nikasema “tukipendwa vizuri” means mpende vizuri (elewa kumpenda vizuri ni kumfanyeje) manzi wako uone kama hajakaaa ila yangu usitake kuijua
 
Ananyoa upara kabisa au anaacha nywele ndefundefu za mduara "bambucha" au ananyoa panki. Hawa aisee ikiwezekana vaa kondomu mbili au tatu kabisa.


Nmeyabold Maneno hayo juu, Kwa sababu ni wachache wanayoyafaham.


HIV Positive wengi, akiwa Mwanamke au Mwanaume wako hivi...

Wale virusi na Dawa za Kufubaza Zina/wanakawaida ya kusababisha Matatizo ya Mishipa ya faham (Neuropathy). , Sasa hupelekea waanga Kuhisi kama Nywele ni Nzitoo kichwan, au kuhisi shoti ya Umeme iinawapiga kichwan.

Na Kwa hofu ya Nywele kuonekana Zimekosa Nuru na kuteleza.


1//// Wengi huamua Kunyoa Vipara hasa wanaume


2////Wanawake huamua Kunyoa Vipara au kua wavaaa mawigi .


3//// Au anyone Panki Kisha Aweke Brichi.


4///Au aweke Brichi nywele zote.


5//// Wanawake wengi hupenda kupakaa LIPSTICKS !!.
 
Amepanga Sinza au Tabata wakati kazi yake haieleweki. Vaa kondomu haraka, usitafute watu lawama...


Wanawake wengi wa Dar wanajiuza , sehem ulizotaja zinaongoza.


Sinza, Tabata, Ubungo, Manzese yote, mpaka Mbezi.


TUMIA KONDOMU.
 
Kwa Ufupi Hoja zako zote, Nmezipitia, nmejiridhisha ni ZA KWELI TUU 100%


Sambamba nahizo niongeze jambo hili..


Waanga wengi wa VVU, ni ama awe na saikolojia hii

1/ Ama apende kuzaa yaaan awe anapenda kubeba mimbaaa, Kwa hiyo ukiwa naye anakuambia nahamu ya kuzaa ILA UKIMGUSIA KUPIMA AFYA , HUYOOO NDUKI.



AU

ACHUKIE KABISA KUZAA ILA KWENYE NGONO ANAJIRAHISISHA USITUMIE KONDOMU....

Hiyo ni Kwa Wanawake.


Kwa Wanaume Sasa...

Yeye hutomuona AnaVaa KONDOMU Wala kumuuliza kupima.



VAA KONDOMU...UTAONDOKA.
 
exactly kila mtu ana maana yake ndo maanna nikasema “tukipendwa vizuri” means mpende vizuri (elewa kumpenda vizuri ni kumfanyeje) manzi wako uone kama hajakaaa ila yangu usitake kuijua
Wala sihitaji kuyajua yako coz hayawezi kua na faida yeyote kwangu na wala sihitaji kuyajua,

Lengo langu lilikua ni ufafanue tu kauli yako ili ieleweke,


Don't take it personal coz that was not my intention.
 
heeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…