M'bongo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 265
- 302
Hii imetokea kwa mwanasiasa machachari na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mh. Zitto Kabwe baada ya kutokea sintofahamu kati yake na mpenzi wake Diva. Zitto alitoa kauli ya kukana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Diva kwenye media. Diva naye ameamua kuweka hadharani mawasiliano ya email kuhusu mahusiano yao:

