Unapokuwa unavaa, ni kitu gani cha kwanza kukivaa na kwanini?

Unapokuwa unavaa, ni kitu gani cha kwanza kukivaa na kwanini?

Kam ndio unaamka utavaa surua wadada kitenge ukisha oga boxer ya kwanza wadada chupi sidiria vingine vinafata na ni hivyo coz huez kuvaa suruali uje boxer [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naanza kuvaa saa ili niangalie muda niliobaki nao kabla ya kuondoka
 
Inategemea mfaano tukivuana chupi tunaanza kuvaa kondom, kwanini huwa cjuagi
 
Kwasisi tusiovaa boxer huwa tunaanza suruali msishangae jamani
 
SAA kwanza
Kila kitu mda bhana
Nisahau vinginevila SAA hapana
 
Kiafya kwa wanaume baada ya kuoga unatakiwa uanze na soksi, halafu boksa. Vingine juu yako.
 
sijaona mtu anaanza vaa power bank (hirizi). mie naanzaga taulo kwenda kuoga

hao mnao anza boxer huwa mnalala nyatu nyatu ama
 
Naanza chupi kubwa yani boxers kwakuwa inatakiwa I tangu lie kabla ya suruali au kaptura
 
Back
Top Bottom