google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Ni kweli 2000 tu inamtoshaElfu ishirini enzi hii ya Jiwe sio mchezo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli 2000 tu inamtoshaElfu ishirini enzi hii ya Jiwe sio mchezo!
Kiduku Lilo anasemaje kuhusu hili jambo? Nahisi atasikitika sana Watanzania kulalamikia masuala madogo kama haya.
Ukilipwa hata bila ya kutolea wewe shukuru maana siku hizi kulipa deni ni mtihani kweli kweli.Nazungumzia namna ya kulipa deni ulilorushiwa kwa M-pesa, Tigopesa, halopesa nk. Katika maisha ni kawaida kukwama na kuomba marafiki watunasue na kamkopo.
Mtu anakukopa tuseme laki tano. Unamrushia kwa mpesa (yaweza kuwa mtandao mwingine wowote) laki tano na elfu kumi ili apate na ya kutolea na atimize shida yake ya laki tano.
Kimbembe kinakuja wakati wa kulipa. Jamaa anakurushia laki tano kamili juu ya alama.
Anasahau ile elfu kumi na ada yako ya kumtumia hela. Mbaya Zaidi, bado huwezi kuitoa laki tano yote lazima ukatwe ya kutolea. Kwa wema au tuseme ujinga wako, unaingia hasara ya elfu 15 hadi 20. Hivi akiwa na shida tena utamkopesha mtu wa aina hii?
Tanzania nchi yetu, ina Mambo ya ajabu sana, tunapenda vitu vya ajabu ajabu hatutumiii bank ambazo ni chipu na tunafata simu ambazo ni expensiveMkuu kutuma pesa kwenye mtandao hasara huwa haikwepeki ni bora kupata hasara ya makato kuliko kupata hasara mara mbili ya makato na yakutolea
Kama ni pisi Kali, namkopesha tena kiroho safi!Nazungumzia namna ya kulipa deni ulilorushiwa kwa M-pesa, Tigopesa, halopesa nk. Katika maisha ni kawaida kukwama na kuomba marafiki watunasue na kamkopo.
Mtu anakukopa tuseme laki tano. Unamrushia kwa mpesa (yaweza kuwa mtandao mwingine wowote) laki tano na elfu kumi ili apate na ya kutolea na atimize shida yake ya laki tano.
Kimbembe kinakuja wakati wa kulipa. Jamaa anakurushia laki tano kamili juu ya alama.
Anasahau ile elfu kumi na ada yako ya kumtumia hela. Mbaya Zaidi, bado huwezi kuitoa laki tano yote lazima ukatwe ya kutolea. Kwa wema au tuseme ujinga wako, unaingia hasara ya elfu 15 hadi 20. Hivi akiwa na shida tena utamkopesha mtu wa aina hii?