DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
- Thread starter
-
- #81
Oooooh kumbe..
Nikajua kadri unavotumia vinakua part katika damu....
Asante sana dactar. ..Muhimu vijana tujitahidi kuwa sober na Ku-?maintain a cleanest lifestyle.
Drink responsibly or abstain if possible
Be sex driver and not sex driven
Control ur emotions
Weed and cigarette control
Drugs have no advantage.
Connect yourself with ur higher power
GOD/universe
Meditation - take time to meditate about ur life past ,present and future
Point to note - Good habit it is hard to acquire but it is easy to live and bad habit it is easy to acquire but it is hardest to live with bad habit in society
Destroyers are not builders and builders are not destroyers βπΏ
Duh!Kuna wengine huwa wanajidunga sindano mpaka kwenye uume
Sio heroin ndo ina raha zaidiUkimwona Teja akiwa anabembea(amesizi) we mwenyew utaelewa kwelii cocaine Ina mzuka zaidi ya kupizi
Hahahah kuna member kakoment huko juuNyie ndo mnataka vijana tuende huko sasa kwa hayo maneno yenu.ππππππππ
Daaah wamenitag aloooh inatishaOaaa weee kuna picha hapo ukiiona nambie...
Wallah inatisha kinoma ππππ
π π π πHuyo Nyomi Banxx ni nouma mkuu nimemnyooshea mikono nina video zake za minutes 25+ ambazo sizifutagi hata iweje.
Naona unakazia mkuu ππππππππππππHahahah kuna member kakoment huko juu
Mwenzako mpaka nikabana miguu hapa ππππDaaah wamenitag aloooh inatisha
Vijana wanaojidunga madawa ya kulevya kupitia uume wapo Kibao tu pita maeneo ya Mwananyamala Hospital, kule makaburi ya Kwa Kopa, wanafanya vile kwa sababu sehemu zingine mishipa imeshapotea au huwa wanatafuta ujuzi mwingine wa kujipa rahaMkuu ile picha nlya hospitali mtu kaingizwa kitu huku chini umeona ?
Bado ujaona picha nini...Duh!
Weee manyanza ujaona ile picha kkakaVijana wanaojidunga madawa ya kulevya kupitia uume wapo Kibao tu pita maeneo ya Mwananyamala Hospital, kule makaburi ya Kwa Kopa, wanafanya vile kwa sababu sehemu zingine mishipa imeshapotea au huwa wanatafuta ujuzi mwingine wa kujipa raha
Napata picha hapa mujini Kuna watu wametajirika sana kupitia hao vijana na hawajali afya zao kabsaaa
Mtoto wa mwenzio ni wako
Yaani sijui niwekejeNaona unakazia mkuu ππππππππππππ
Heroine na cocoine zote azitofautiani sana ila cocaine inatumika kwa wingi sana bongoSio heroin ndo ina raha zaidi
Sio picha ya humu ila wale wanaojidunga uume wapo tena kweupee wanafanya mamboWeee manyanza ujaona ile picha kkaka