Unapoona picha kama hii huwa unawaza nini katika akili yako?

Unapoona picha kama hii huwa unawaza nini katika akili yako?

Huwa natamani kukaa na vijana Kama hawa na kuwajenga KIAKILI na kuwarudisha Katika jamii ili waweze kuwa na tija katika familia zao na jamii kwa ujumla.

Nawaza kuja kufanya project Kama hii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali

Kuna wazazi wanaumia
Kuna ndugu wanaumia

I hope one day nitafanya kitu in my society.


It is pain when you see ur friend or relative is under addicts's control.
Huyu hapa Chidi Benz. Anatia huruma
Screenshot_20240817_204430_Google.jpg
 
Miaka ya mwanzo ya 80, Dar nzima hakuna hata teja mmoja, nakumbuka wahuni wote ni wavuta bangi
Walivyoaanza wazungu wa unga, baada ya Mwinyi kuwa raisi, pia walikuwa wachache sana, wanahesabika, mara miaka ya 90 hii, ikawa mpaka watoto nimesoma nao sekondari walikuwa wanabwia,
Lakini ilikuwa wanaita cocktail, wanamix na sigara au bangi, au wengine wanatumia bati kuchoma na lighter
Nikaondoka na kwenda mkoani, ile narudi miaka ya mwishoni mwa 90, mpaka wamachinga wanajidunga na sindano, nilishangaa sana, maana hivi tulikuwa unaona kwenye movie tu , mpaka nakutana na washikaji niliosoma nao wanapiga debe ili wapate hela ya kujidunga, hapo pharmacy zote dili ilikuwa kuuza sindano,
 
Chid Benz nlikutana naye Kisuma Bar pale Magomeni. Ana kidonda mguuni, amevaa malapa na track suit chafu. Usoni anajifunika na mask (kinyago) ili usimtambue mpaka pale anapofika kwa mlengwa.
Anaomba omba tu
Inasikitisha sana.
 
Huwa natamani kukaa na vijana Kama hawa na kuwajenga KIAKILI na kuwarudisha Katika jamii ili waweze kuwa na tija katika familia zao na jamii kwa ujumla.

Nawaza kuja kufanya project Kama hii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali

Kuna wazazi wanaumia
Kuna ndugu wanaumia

I hope one day nitafanya kitu in my society.


It is pain when you see ur friend or relative is under addicts's control.
Unyamaaa
 
Back
Top Bottom