Unapopigiwa simu na wife

Hio ni moja ya upendo, na inaraha yake!

Kwa sisi wanaume tunaojua, tunachukulia ni moja ya upendo na ni raha sana!!
 
that's among the reasons why men die younger!!
 
Hahahaaa aisee, Mimi janatu nipo mbaaaali mtu anataka nikirudi nirudi na sabuni ya kuogea wakati yeye yupo tu sebuleni anaangalia TV.

Any way tuwaleteetu ndio furahayao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…