Unapopita 'Ushuani' kwenye nyumba za kifahari, huwa unajisemea nini moyoni?

najiulizaga hvi hawa wanaijua raha ya CHABO? Kuchungulia mtu anakula mzgo kwenye nyumba zetu za msongamano.
 
Tusikate tamaa mapema kwa kuwa uvumilivu wa Nyanya awamu hii umeifanya kuwa na bei ya Apple so ukiwa na kibanda chako ni suala la uvumilivu tu huenda siku moja kikawa Ghorofa.
 
ila kiukweli wananipa mzuka zaidi wa kupambana na hali yangu ili na mimi niweze kufikia pale walipo au zadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…