Unaposhangilia kuongezwa kwa Mishahara Usisahau kwamba Umepigwa kwenye Kikokotoo cha mafao

Unaposhangilia kuongezwa kwa Mishahara Usisahau kwamba Umepigwa kwenye Kikokotoo cha mafao

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Watumishi wa Umma wako busy kushangilia ongezeko la mishahara kwa kima cha chini huku wakisahau kwamba wamepigwa kwenye Kikokotoo.

Ongezeko litasaidia nini ikiwa ukistaafu unapewa pesa kidogo ya asilimia 33.33% tuu?

Kwa hiyo hapa mtu anaifanyia Kazi serikali.Juu ya hilo hakuna cha fao la kujitoa kwa wafanyakazi sekta binafsi na wale wa mkataba.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220526-125620.png
    Screenshot_20220526-125620.png
    63.7 KB · Views: 32
  • Screenshot_20220526-125805.png
    Screenshot_20220526-125805.png
    54.5 KB · Views: 35
Nawasalimu kwa jina la JMT..

Watumishi wa Umma wako busy kushangilia ongezeko la mishahara kwa kima cha chini huku wakisahau kwamba wamepigwa kwenye Kikokotoo..

Ongezeko litasaidia nini ikiwa ukistaafu unapewa pesa kidogo ya asilimia 33.33% tuu?.

Kwa hiyo hapa mtu anaifanyia Kazi serikali.Juu ya hilo hakuna cha fao la kujitoa kwa wafanyakazi sekta binafsi na wale wa mkataba..
Ongezeko lenyewe haliifikii hata increment ya toka mwaka 2016-2021, sema watumishi wengi ni wajinga sn hawajui hata haki zao
 
Nawasalimu kwa jina la JMT..

Watumishi wa Umma wako busy kushangilia ongezeko la mishahara kwa kima cha chini huku wakisahau kwamba wamepigwa kwenye Kikokotoo..

Ongezeko litasaidia nini ikiwa ukistaafu unapewa pesa kidogo ya asilimia 33.33% tuu?.

Kwa hiyo hapa mtu anaifanyia Kazi serikali.Juu ya hilo hakuna cha fao la kujitoa kwa wafanyakazi sekta binafsi na wale wa mkataba..
Pole ndugu, hili la kuongezewa mishahara watumishi wa umma, limekuumiza sana.
Naona unatafuta mbinu za kujifariji kuondoa maumivu yako.
 
Hivi wewe nawe akili huna umeshindwa kutaja jina lake unataja kabila lake! Haikusaidii chechote! Hao wasukuma wengine tu maisha wanakuzidi pamoja na chuki zako!
Sawa Kaka nimekosa [emoji23][emoji23] nisamehe [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Watumishi wa Umma wako busy kushangilia ongezeko la mishahara kwa kima cha chini huku wakisahau kwamba wamepigwa kwenye Kikokotoo.

Ongezeko litasaidia nini ikiwa ukistaafu unapewa pesa kidogo ya asilimia 33.33% tuu?

Kwa hiyo hapa mtu anaifanyia Kazi serikali.Juu ya hilo hakuna cha fao la kujitoa kwa wafanyakazi sekta binafsi na wale wa mkataba.
Mi huwa nashangaa sana, Yaani serikali inang'ang'aniaje pesa za wastaafu wa hali aya chini wakati wale wa ngazi za juu wanapewa pesa zao zote.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Watumishi wa Umma wako busy kushangilia ongezeko la mishahara kwa kima cha chini huku wakisahau kwamba wamepigwa kwenye Kikokotoo.

Ongezeko litasaidia nini ikiwa ukistaafu unapewa pesa kidogo ya asilimia 33.33% tuu?

Kwa hiyo hapa mtu anaifanyia Kazi serikali.Juu ya hilo hakuna cha fao la kujitoa kwa wafanyakazi sekta binafsi na wale wa mkataba.
Mara mojamoja huwa unarudiwa akili kumbe. Siasa ni sayansi.
 
Back
Top Bottom