Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
wenda umasikin wao ndio mtaji Kwa wasiasa.Mi huwa nashangaa sana, Yaani serikali inang'ang'aniaje pesa za wastaafu wa hali aya chini wakati wale wa ngazi za juu wanapewa pesa zao zote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wenda umasikin wao ndio mtaji Kwa wasiasa.Mi huwa nashangaa sana, Yaani serikali inang'ang'aniaje pesa za wastaafu wa hali aya chini wakati wale wa ngazi za juu wanapewa pesa zao zote.
Serikali ya kikuma sanaMi huwa nashangaa sana, Yaani serikali inang'ang'aniaje pesa za wastaafu wa hali aya chini wakati wale wa ngazi za juu wanapewa pesa zao zote.
Akili ninazo siku zoteMara mojamoja huwa unarudiwa akili kumbe. Siasa ni sayansi.
Inaonekana hili jambo linakusumbua sana . Waache watu wafurahie jambo lao. .... Unaumia nini ???Nawasalimu kwa jina la JMT.
Watumishi wa Umma wako busy kushangilia ongezeko la mishahara kwa kima cha chini huku wakisahau kwamba wamepigwa kwenye Kikokotoo.
Ongezeko litasaidia nini ikiwa ukistaafu unapewa pesa kidogo ya asilimia 33.33% tuu?
Kwa hiyo hapa mtu anaifanyia Kazi serikali.Juu ya hilo hakuna cha fao la kujitoa kwa wafanyakazi sekta binafsi na wale wa mkataba.[emoji116]
Pole sana, Umasikini sio kukosa pesa peke yake, Hata ukikosa mawazo nako ni umasikini. Kama huwezi kuguswa na dhuluma inayofanywa na serikali kwa wastaafu siku yako inakuja, na itakapofika utaona uchungu kuliko malalamiko ya wengi hapa.Inaonekana hili jambo linakusumbua sana . Waache watu wafurahie jambo lao. .... Unaumia nini ???
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app