Unaposhupaza shingo kwamba yanga sio bora utakutwa na makubwa kama aya

Unaposhupaza shingo kwamba yanga sio bora utakutwa na makubwa kama aya

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nafikiri mpaka apo akuna swali yanga anakwenda kubeba makombe yote msimu huu, pongezi kwa kocha Nabi kwa mbinu bora amedhihirisha sio kocha wa kubahatisha, pongezi kwa wachezaji, wamefanya kaxi kubwa, siku zote mpira sio maneno ni vitendo, aya sasa babra na watu wake wawai uwanja wa ndege warudi walikotoka msimu huu wametoka kapa wamepoteza kila kitu wakajipange na msimu ujao waondoe wazee vinginevyo waandae pensheni yao kabisa
 
Back
Top Bottom