Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Watapigwa mpaka watachakaa, sasa hivi kocha la madrid wanalilia timing walichinjie bahariniAzam watatufuta machoz ss makolokolo fainal
SI unajua lile n tawi letu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Azam hawezi kuifungia Yanga ,hawezi.Leo ni presha za derby Simba angepigwa goli nyingi Sana.Azam watatufuta machoz ss makolokolo fainal
SI unajua lile n tawi letu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu kocha hawezi kubaki pale hata kwa dawaWatapigwa mpaka watachakaa, sasa hivi kocha la madrid wanalilia timing walichinjie baharini
mzungu na mchawi hawawezi Kaa pamojaHuyu kocha hawezi kubaki pale hata kwa dawa