[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hiyo kweli ni moja kati ya kero nyingi za online dating!Am back changamoto ziko nyingi sana kwenye online datin1.ntajntabu kuziorodhesha baadhi
1.Catfishing.mtu kutumia persona ya mtu mwengine,mfano mwakukke uko online unajua unachat na hamorapa kumbe unachat na rayvanny mwisho wa siku mnakuja kukutana inakuwa tafrani.au unajua unachat na Tulia A kumbe unachat na kidoti.
Faida iliyopo ni kuwa unaweza okota dodo chini ya mwarubaini.unaweza ukapata soulmate na mkawa wapenzi wakudumu,binafsi nimeweza kukutana na wadada tafauti tafauti wengine tukawa wapenzi na wengine tuliishia kuwa marafiki wengine wamekuwa wenyeji wangu ktk nchi nlizotembelea,mmoja akaja kuwa wakili wangu,wengine wamenipa madili n.k.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hiyo kweli ni moja kati ya kero nyingi za online dating!
Kiongozi, vip kuhusu faida;hujawahi kupata faida yoyote kupitia hii online dating?
Faida iliyopo ni kuwa unaweza okota dodo chini ya mwarubaini.unaweza ukapata soulmate na mkawa wapenzi wakudumu,binafsi nimeweza kukutana na wadada tafauti tafauti wengine tukawa wapenzi na wengine tuliishia kuwa marafiki wengine wamekuwa wenyeji wangu ktk nchi nlizotembelea,mmoja akaja kuwa wakili wangu,wengine wamenipa madili n.k.
True dat.skuiz zimevamiwa,matapeli humohumo,wanaojiuza mumo mumo.wahuni pia.zamani ulikuwa unakutana na mtu wa online bila waswas sanasana unahofia tu asije akawa hafananii na picha zake.lakini skuiz nkitaka kumDM Thad naanza kuingiwa na ubaridi naogopa isije ikawa nipo kwenye listi ya wanaotafutwa na bwana yule.Hongera sana kiongozi!
Hakika online dating ni nzuri japo inahitaji uwe makini sana,vinginevyo unaweza kujikuta unazalisha tabia mbaya ambayo hukuwa nayo kabla.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenichekesha sana eti unahofia usijekuwa kwenye list!True dat.skuiz zimevamiwa,matapeli humohumo,wanaojiuza mumo mumo.wahuni pia.zamani ulikuwa unakutana na mtu wa online bila waswas sanasana unahofia tu asije akawa hafananii na picha zake.lakini skuiz nkitaka kumDM Thad naanza kuingiwa na ubaridi naogopa isije ikawa nipo kwenye listi ya wanaotafutwa na bwana yule.
Kweli dada ila pia wapo watu na heshima zao wanatumia hii mitandao.chamsingi ni mtumiaji kutojichanganya.hizi site zina madaraja yake huwezi kwenda bar ya uswahilini tandale ukatagemea upate huduma zenye hadhi ya elements au high spirit.Badoo ni kama munda bar ya huku kwetu tandale na tinder ni kama elements.sasa kama uzijuavyo bar za kwetu uswahilini ngumi,kupigana na chupa za bia,kushikashika mabaamedi etc,so chagua dating site/app inayoendana na hadhi na malengo yako.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenichekesha sana eti unahofia usijekuwa kwenye list!
Kweli watu wanaiharibu kiasi kwamba inapoteza maana. Imefikia hatua watumiaji wa hizi online dating wanaonekana ni watu wasio na maadili na walioshindikana kwenye jamii.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] Ushauri murua!Kweli dada ila pia wapo watu na heshima zao wanatumia hii mitandao.chamsingi ni mtumiaji kutojichanganya.hizi site zina madaraja yake huwezi kwenda bar ya uswahilini tandale ukatagemea upate huduma zenye hadhi ya elements au high spirit.Badoo ni kama munda bar ya huku kwetu tandale na tinder ni kama elements.sasa kama uzijuavyo bar za kwetu uswahilini ngumi,kupigana na chupa za bia,kushikashika mabaamedi etc,so chagua dating site/app inayoendana na hadhi na malengo yako.
Uko sahihi kabisainawezekana mkuu.. wapo wanaofanikiwa 100% na ndoa zinafungwa bila shida.. ila sasa changamoto ni kumjua vizuri mwenzio huko alikotoka... mtu anaweza kukaa na siri mpaka unafunga ndoa ndo unajua!