Mfano.!?
Philosophy ina field wapi kwani???........
Hata me nashangaaga,unakuta dume zima eti linasoma community development au procurement!
bora procurement lingine linasoma socialogy au public administration..!
Hata me nashangaaga,unakuta dume zima eti linasoma community development au procurement!
sijui kama umeelewa logic ya mleta uzi!,
nilivyomwelewa ni kuwa kuna kozi huwezi kupata kazi kirahic kwa muda huo kwa sbb waajiri hakuna au soko la ajira kwa field hiyo halipo au lipo kwa uchache!
sijui kama umeelewa logic ya mleta uzi!,
nilivyomwelewa ni kuwa kuna kozi huwezi kupata kazi kirahic kwa muda huo kwa sbb waajiri hakuna au soko la ajira kwa field hiyo halipo au lipo kwa uchache!
sijui kama umeelewa logic ya mleta uzi!,
nilivyomwelewa ni kuwa kuna kozi huwezi kupata kazi kirahic kwa muda huo kwa sbb waajiri hakuna au soko la ajira kwa field hiyo halipo au lipo kwa uchache!
Vipi conflict resolution,family consumer,mid wifery
Vipi conflict resolution,family consumer,mid wifery
Hata me nashangaaga,unakuta dume zima eti linasoma community development au procurement!
Mimi nasoma bachelor of Arts in family planning. Vp hii?
bora procurement lingine linasoma socialogy au public administration..!
Bachelor of science in urban and regional planing vp ajira zake jaman?