Unapoteza vyote...

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
 
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
Hakuna jipya chini ya jua, hayo yapo
 
hatari sana mkuu" FEDHA NI FEDHEHA
 
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
Inashangaza mimi imenitokea mara nne na pengine si hela nyingi ila kinachoniboa ni kuwa hela nitoe mimi rafiki anakuja kwa unyenyekevu na anajicommit mwenyewe siku ya kurejesha ila sasa inageuka inakuwa mimi ndio naanza kukumbushia kila mara ili alipe. Na kadiri unavyokumbushia deni ndio urafiki unaenda mbali sana.
Mwisho wapoteza hela na urafiki.
 
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
Hiyo ilinitokea mwaka uliopita mwezi wa tisa laki 7 na nusu imesababisha rafiki asipokee simu wala kujibu text yangu hadi hivi leo
 

Pole sana.

Saa ingine unakuta hadi mtu anakupandishia kabisa.

Anaanza hadi kuponda kiasi ulichomkopa ilhali hawezi hata kukurudishia.

Hii dunia bana!
 
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
Me ilinitokea 2014 nilimwazima friend elfu 10 mpka dakika hii naandika anajifanya hajui....sahvi kaoa mwaka 2016 juzi ananambia naazima laki 2 nilimjibu sawa ntakutuma sasa hvi...hii sasa hvi mpka dakika hii
 
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
Kwani imekuje tena mkuu
 
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
Bora urafiki upotee 2 but sio hela
 
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?

Rafiki anakujia na shida zake.

Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.

Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!

Unapoteza rafiki na hela zako!

Malimwengu ya walimwengu hayo.
hii mada umenisemea mimi au Nyani Ngabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…