kuna jamaa yangu namuangaliaga basi tuuInamhusu yeyote aliyewahi patwa na hali hiyo.
Huyo rafiki hakuwa rafiki, kwa hiyo hujampoteza, amejionesha tu kwamba hakuwa rafiki.Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?
Rafiki anakujia na shida zake.
Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.
Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!
Unapoteza rafiki na hela zako!
Malimwengu ya walimwengu hayo.
kuna jamaa yangu namuangaliaga basi tuu
Huyo rafiki hakuwa rafiki, kwa hiyo hujampoteza, amejionesha tu kwamba hakuwa rafiki.
Na hiyo fedha, ulipotoa, hukutakiwa kutoa kwa minajili ya kuitaka irudi, kama unatoa kusaidia, kubali kwamba hairudi, kama unataka irudi, usisaidie, wekeza kitegauchumi.
Ndio maana mm formula yangu naendelea kuiamini,bora kusaidia walau kidogo kuliko kukopesha,mf. Rafiki ana shida ya laki amekufata,mwambie tu upo vibaya sana ila mpe kdg mf. 5000/= au hata 10,000/= km ipo na mpe moyo kwamba mpo pamoja kwenye shida yake,hapa utakua umeepusha mgogoro na kupoteza pesa nyingi..
Pole sana umenisikitisha[emoji25]Elf 40 tu my friend Doreen mwaka 2009 ushoga umekufa na pesa sijalipwa
Vipi mzee baba, ulaya hali ikoje hapa bongo full kugombana kisa deni.Inamhusu yeyote aliyewahi patwa na hali hiyo.
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?
Rafiki anakujia na shida zake.
Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.
Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!
Unapoteza rafiki na hela zako!
Malimwengu ya walimwengu hayo.
Hivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?
Rafiki anakujia na shida zake.
Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.
Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!
Unapoteza rafiki na hela zako!
Malimwengu ya walimwengu hayo.
Ishawahi nitokea.....
hii ipo sana, na ukimnyima unampoteza au anaanza kukusakamaHivi, na nyie hii ishawahi kuwatokea?
Rafiki anakujia na shida zake.
Anaomba umkopeshe hela. Unamkopesha.
Bila kujua, mwisho wa siku unaishia kupoteza vyote!
Unapoteza rafiki na hela zako!
Malimwengu ya walimwengu hayo.
Pole Kasiba
kumtaja mwenzio ni kukosa staha jirekebisheElf 40 tu my friend Doreen mwaka 2009 ushoga umekufa na pesa sijalipwa
uzi umekuja kwa makusudi lakini umetumia busara kutoanika, safi sanaWala hamna kitu. Nimelikumbuka tu hilo suala.
Duuh... pole sana dada Raynavero kwa kupoteza rafiki.Elf 40 tu my friend Doreen mwaka 2009 ushoga umekufa na pesa sijalipwa