D Deleted member 485868 Guest Aug 11, 2018 #81 Nyani Ngabu said: We hujawahi mzika mtu hela zake? Click to expand... Nimewahi kwakweli
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Aug 11, 2018 Thread starter #82 kudraty said: Mimi shogaangu aliniazima elifu20 lkn baada ya hapo mambo yangu yakawa magumu sana kwakweli hakunielewa ila najua nitamlipatu japo ushoga nikama haupo tena amenichukia Click to expand... Oh ina maana ulimzika eh?
kudraty said: Mimi shogaangu aliniazima elifu20 lkn baada ya hapo mambo yangu yakawa magumu sana kwakweli hakunielewa ila najua nitamlipatu japo ushoga nikama haupo tena amenichukia Click to expand... Oh ina maana ulimzika eh?
kudraty Senior Member Joined Mar 4, 2018 Posts 142 Reaction score 189 Aug 11, 2018 #83 Nyani Ngabu said: Oh ina maana ulimzika eh? Click to expand... Sijamzika nimambotu yameenda tofauti ila nilazima nimlipe
Nyani Ngabu said: Oh ina maana ulimzika eh? Click to expand... Sijamzika nimambotu yameenda tofauti ila nilazima nimlipe