Unapoweka malengo kuwa na msimamo kama simba anayekimbiza mawindo

Unapoweka malengo kuwa na msimamo kama simba anayekimbiza mawindo

lup

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
2,514
Reaction score
2,741
Za mda huu wadau JFGT, naamini mko vizuri na siku mnaimalizia kwa amani

Niende kwenye mada;
Katika utafutaji wa maisha hasa pale unapoamua kujikwamua kimaisha na hali bado uko chini sana na haujui utaanzaaje hata kama una mawazo mengi ya kuanzisha jambo/kitu au mrandi fulani.

Mara zote unapokuwa na maisha magumu na hauna nyenzo au mtaji kwa ukweli huwa kuna kuwa mawazo mengi sana ya nini cha kufanya na tatizo huwa ni mtaji tu, mfano leo unaweza ukawaza, nikipata hata elfu hamsini tu naweza hata uza maembe na kwenye akili yako unaona kabisa kuna site (sehem)nzuri ya kuuzia maembe na hadi faida yake.

Lakini kesho tu unaweza unapata wazo lingine nzuri zaidi tena lenye mtaji kidogo sana, lakini kabla ya kufanikisha mawazo mawili tayari yanakuja mengine na mengine mengi.

Hivyo kujikuta mnakuwa na mipango na malengo mengi ambayo kiuhalisia hakuna hata moja ambalo limeanza kutekelezeka.

Lakini pia unaweza ukaanza jambo au mradi fulani halafu kabla ya kufika popote au ukapata changamoto fulani lakini ghafla unaona wazo au mradi huo haufai na unaanza mwingine tena na usipoangali inakuwa ndio tabia yako huku umesahau mda na gharama vinaenda.

Ukweli ni kuwa hakuna kitu chochote ambacho hakina chagamoto lakini kumbuka kila kitu ukikifanya kwa moyo na makusudi ya kushinda lazima utaona matokeo yake.

Kwa nini nimesema tuwe na tabia ya Simba au kwa nini tujifunze kwa Simba?

Simba anapokuwa kwenye mawindo pale anapokuwa ameamua kufatilia mfano pundamilia fulani, kiukweli huwa hapindishi wazo lake hata kama atatokea pundamilia mwingine karibu na awe amenona kiasi gani lakini bado atamuacha na atamfuta yule wa mbali bila kujali pundamilia huyo yupo umbali gani na ana nguvu kiasi gani.

WEKEZA PALE MOYO WAKO UNAKUPA KUPENDA NA UNAAMINI KUWA HAPO NI LAZIMA UTATOKA TU!
 
You have to be SMART.
S - Specific
M - Measurable
A - Attainable
R - Relevant
T - Timely
 
Hii ni kitu cha muhimu sana kwenye maisha. Lakini Je, kuna ulazima wa kumfukuzia pundamilia aliyeko mbali atakaehitaji nguvu nyingi hata kama ametokea wa karibu aliyenona na kukidhi mahitaji ya chakula?

Naweza kumkamata huyo niliyemkusudia lakini ndio sina hata nguvu za kumla.
 
  • Thanks
Reactions: lup
Za mda huu wadau JFGT, naamini mko vizuri na siku mnaimalizia kwa amani

Niende kwenye mada;
Katika utafutaji wa maisha hasa pale unapoamua kujikwamua kimaisha na hali bado uko chini sana na haujui utaanzaaje hata kama una mawazo mengi ya kuanzisha jambo/kitu au mrandi fulani.

Mara zote unapokuwa na maisha magumu na hauna nyenzo au mtaji kwa ukweli huwa kuna kuwa mawazo mengi sana ya nini cha kufanya na tatizo huwa ni mtaji tu, mfano leo unaweza ukawaza, nikipata hata elfu hamsini tu naweza hata uza maembe na kwenye akili yako unaona kabisa kuna site (sehem)nzuri ya kuuzia maembe na hadi faida yake.

Lakini kesho tu unaweza unapata wazo lingine nzuri zaidi tena lenye mtaji kidogo sana, lakini kabla ya kufanikisha mawazo mawili tayari yanakuja mengine na mengine mengi.

Hivyo kujikuta mnakuwa na mipango na malengo mengi ambayo kiuhalisia hakuna hata moja ambalo limeanza kutekelezeka.

Lakini pia unaweza ukaanza jambo au mradi fulani halafu kabla ya kufika popote au ukapata changamoto fulani lakini ghafla unaona wazo au mradi huo haufai na unaanza mwingine tena na usipoangali inakuwa ndio tabia yako huku umesahau mda na gharama vinaenda.

Ukweli ni kuwa hakuna kitu chochote ambacho hakina chagamoto lakini kumbuka kila kitu ukikifanya kwa moyo na makusudi ya kushinda lazima utaona matokeo yake.

Kwa nini nimesema tuwe na tabia ya Simba au kwa nini tujifunze kwa Simba?

Simba anapokuwa kwenye mawindo pale anapokuwa ameamua kufatilia mfano pundamilia fulani, kiukweli huwa hapindishi wazo lake hata kama atatokea pundamilia mwingine karibu na awe amenona kiasi gani lakini bado atamuacha na atamfuta yule wa mbali bila kujali pundamilia huyo yupo umbali gani na ana nguvu kiasi gani.

WEKEZA PALE MOYO WAKO UNAKUPA KUPENDA NA UNAAMINI KUWA HAPO NI LAZIMA UTATOKA TU!
Na siku zote kupanga ni kuchagu, katika Maisha wewe mwenyewe unaweza kuwa adui wa maendeleo yako. Na kuanza kutafuta mchawi.
 
  • Thanks
Reactions: lup
You have to be SMART.
S - Specific
M - Measurable
A - Attainable
R - Relevant
T - Timely
S.M.A.R.T. goal setting: Specific

What exactly do you want to achieve? The more specific your description, the bigger the chance you'll get exactly that. S.M.A.R.T. goal setting clarifies the difference between 'I want to be a millionaire' and 'I want to make €50.000 a month for the next ten years by creating a new software product'.

Questions you may ask yourself when setting your goals and objectives are:

What exactly do I want to achieve?

Where?

How?

When?

With whom?

What are the conditions and limitations?

Why exactly do I want to reach this goal? What are possible alternative ways of achieving the same?

S.M.A.R.T. goal setting: Measurable

Measurable goals means that you identify exactly what it is you will see, hear and feel when you reach your goal. It means breaking your goal down into measurable elements. You'll need concrete evidence. Being happier is not evidence; not smoking anymore because you adhere to a healthy lifestyle where you eat vegetables twice a day and fat only once a week, is.

Measurable goals can go a long way in refining what exactly it is that you want, too. Defining the physical manifestations of your goal or objective makes it clearer, and easier to reach.

S.M.A.R.T. goal setting: Attainable

Is your goal attainable? That means investigating whether the goal really is acceptable to you. You weigh the effort, time and other costs your goal will take against the profits and the other obligations and priorities you have in life.

If you don't have the time, money or talent to reach a certain goal you'll certainly fail and be miserable. That doesn't mean that you can't take something that seems impossible and make it happen by planning smartly and going for it!

There's nothing wrong with shooting for the stars; if you aim to make your department twice as efficient this year as it was last year with no extra labour involved, how bad is it when you only reach 1,8 times? Not too bad...

S.M.A.R.T. goal setting: Relevant

Is reaching your goal relevant to you? Do you actually want to run a multinational, be famous, have three children and a busy job? You decide for yourself whether you have the personality for it, or your team has the bandwidth.

If you're lacking certain skills, you can plan trainings. If you lack certain resources, you can look for ways of getting them.

The main questions, why do you want to reach this goal? What is the objective behind the goal, and will this goal really achieve that?

You could think that having a bigger team will make it perform better, but will it really?

S.M.A.R.T. goal setting: Timely

Time is money! Make a tentative plan of everything you do. Everybody knows that deadlines are what makes most people switch to action. So install deadlines, for yourself and your team, and go after them. Keep the timeline realistic and flexible, that way you can keep morale high. Being too stringent on the timely aspect of your goal setting can have the perverse effect of making the learning path of achieving your goals and objectives into a hellish race against time – which is most likely not how you want to achieve anything.

Kwa msaada wa google![emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Maisha yamebadirika, Hata zama zimepita kadri maendeleo yanavyokuja na ndiyo hivyo gharama za kuendesha maisha yanaongezeka.
Juhudi na maarifa zinahitajika ili kuendana na kasi ya maendeleo ya tekinolojia.
 
Za mda huu wadau JFGT, naamini mko vizuri na siku mnaimalizia kwa amani

Niende kwenye mada;
Katika utafutaji wa maisha hasa pale unapoamua kujikwamua kimaisha na hali bado uko chini sana na haujui utaanzaaje hata kama una mawazo mengi ya kuanzisha jambo/kitu au mrandi fulani.

Mara zote unapokuwa na maisha magumu na hauna nyenzo au mtaji kwa ukweli huwa kuna kuwa mawazo mengi sana ya nini cha kufanya na tatizo huwa ni mtaji tu, mfano leo unaweza ukawaza, nikipata hata elfu hamsini tu naweza hata uza maembe na kwenye akili yako unaona kabisa kuna site (sehem)nzuri ya kuuzia maembe na hadi faida yake.

Lakini kesho tu unaweza unapata wazo lingine nzuri zaidi tena lenye mtaji kidogo sana, lakini kabla ya kufanikisha mawazo mawili tayari yanakuja mengine na mengine mengi.

Hivyo kujikuta mnakuwa na mipango na malengo mengi ambayo kiuhalisia hakuna hata moja ambalo limeanza kutekelezeka.

Lakini pia unaweza ukaanza jambo au mradi fulani halafu kabla ya kufika popote au ukapata changamoto fulani lakini ghafla unaona wazo au mradi huo haufai na unaanza mwingine tena na usipoangali inakuwa ndio tabia yako huku umesahau mda na gharama vinaenda.

Ukweli ni kuwa hakuna kitu chochote ambacho hakina chagamoto lakini kumbuka kila kitu ukikifanya kwa moyo na makusudi ya kushinda lazima utaona matokeo yake.

Kwa nini nimesema tuwe na tabia ya Simba au kwa nini tujifunze kwa Simba?

Simba anapokuwa kwenye mawindo pale anapokuwa ameamua kufatilia mfano pundamilia fulani, kiukweli huwa hapindishi wazo lake hata kama atatokea pundamilia mwingine karibu na awe amenona kiasi gani lakini bado atamuacha na atamfuta yule wa mbali bila kujali pundamilia huyo yupo umbali gani na ana nguvu kiasi gani.

WEKEZA PALE MOYO WAKO UNAKUPA KUPENDA NA UNAAMINI KUWA HAPO NI LAZIMA UTATOKA TU!
Nice
 
  • Thanks
Reactions: lup
Back
Top Bottom