Tawireee. Asante sanaSikupingi naunga mkono hoja
Ila Hilo zigo mkuu ni hatari aiseeeTawireee. Asante sana
Wee! Utakuwa unaangalia kwa wasiwasiUnauhakika katikati ya hayo makalio, hamna Fangasi???.
Damu inakwenda mbio eeh! ??Ila Hilo zigo mkuu ni hatari aiseee
Pombe ina Mambo mengi sana yanayofanana na mapenzi. Lkn kuna kitu cha ziada kwenye mapenzi nacho ni wivu. Hakunaga wivu kwenye pombe.[emoji3][emoji3][emoji3] huijui serengeti ya baridi kama inatoa jasho hivi ,ukiifungua kama inatoa moshi [emoji3]Na nyama iliyochomwa ! Acha utani mkuu
Naona umetumia ada mkuu jibu zuri sana hiliPombe ina Mambo mengi sana yanayofanana na mapenzi. Lkn kuna kitu cha ziada kwenye mapenzi nacho ni wivu. Lkn hakunaga wivu kwenye pombe.
Maana yake ni kwamba mapenzi yako juu
Dunini hapa kuna utamu wa aina mbili tu mkuu. Kunywa pombe na kuchakatana.Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.
Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.
Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
Kwangu zote hizo ni za ziada sana. Kuna mambo mengi mazuri sana yanaanza hizo zitakuwa zinshika nafasi ya mwisho mwisho huko.Dunini hapa kuna utamu wa aina mbili tu mkuu. Kunywa pombe na kuchakatana.
Chagua utamu wako Kati ya hizo tamu mbili
Usicheze na maku wacha urongoooKila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.
Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.
Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
Sawa mkuuEveryone is engineered differently. Everyone has their own style of upbringing. Everyone has different kinds of experiences and exposure. Everyone has their own hobbies, beliefs, standards e.t.c
Kamwe huwezi kuwa sawa kama utafikiri kuwa kila mtu anapenda unachopenda wewe.
Mi mpenzi wa vitabu pia ila nimekuwa Adicted na Jf achaa tuu.Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.
Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.
Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95]Unauhakika katikati ya hayo makalio, hamna Fangasi???.