Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

Haha kwa umri wake, lazima aseme hvyo, ni kizazi cha marap wenye marangi rangi kichwan na matatto mwili mzima
Walau nimekaa naye sana kipindi cha Corona akaanza kubadilisha taste,
Yani huko BillBoard na UK TOP-40 siku hizi kuna matakataka sana!
 
Swali langu ni kwenye kulipia
Una create free account. Halafu ku login unatumia vpn mara moja. Uwa wenyewe wana log out kila baada ya wiki 3, unawasha vpn tena una login unaendelea kupata vitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…