Ms.Dj [emoji119][emoji119]
Kwesta - Ngiyaz'fela NgaweTNS ft Mpumi - Umona.
Umenikumbusha acha niplay khethile khethile.Kwesta - Ngiyaz'fela Ngawe
Si kampeni bado mkuu?
Popote palipo na muziki mzuri nipo [emoji2][emoji2]
Duuh....good for you.Zile nyimbo tamu sana kusikiliza sema tu maccm hayataki kushare national cake wanatunogesha nyimbo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha wewe jamaa ni kama upo jirani yangu hapa,, hiyo Khethile nimetoka kuiplay ndio ikafata hyo Ngiyaz'felaUmenikumbusha acha niplay khethile khethile.
Kuna track kaimba na rick ross mbovu saana ya juzi kati tu.
Acha utani..Zile nyimbo tamu sana kusikiliza sema tu maccm hayataki kushare national cake wanatunogesha nyimbo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya kwezta ni mpya maana kitambo sijapakua nyimbo zake..Ha ha wewe jamaa ni kama upo jirani yangu hapa,, hiyo Khethile nimetoka kuiplay ndio ikafata hyo Ngiyaz'fela
Hiyo na rick ross, siipat..sema jamaa anajua
Mkuu unafatilia sana SA hip hop sio
Utani kusikiliza wimbo?Acha utani..
Sio Hip Hop yao...hadi Gqom , Amapiano, house...Ha ha wewe jamaa ni kama upo jirani yangu hapa,, hiyo Khethile nimetoka kuiplay ndio ikafata hyo Ngiyaz'fela
Hiyo na rick ross, siipat..sema jamaa anajua
Mkuu unafatilia sana SA hip hop sio
Haina muda mrefu sanaHii ya kwezta ni mpya maana kitambo sijapakua nyimbo zake..
Ni mzuri.. wanajua kupangilia sauti. Napenda sana sauti za Alto au bassUtani kusikiliza wimbo?
Hebu usikilize na wewe, achana na upuuzi Wa ccm sikiliza wimbo tu
Sent using Jamii Forums mobile app