and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Feb 23, 2025 #1 Wapi vijana bado wanasoma BA Archaeology ili waje kufanya kazi wapi?
Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 3,711 Reaction score 6,762 Feb 23, 2025 #2 Dr Louis Leakey and Mary
Fortilo JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 5,807 Reaction score 17,416 Feb 23, 2025 #3 Kuwa mpole mzee .. Kuna nafasi nyingi sana Kwenye hiyo field hasa upande wa Conservation... NCAA, TANAPA etc... Wapo wanaopata na kufanikiwa katika kila course... Na wapo wanaochemka kwa maelfu pia kwenye kila course .. Usikatishe watu tamaa
Kuwa mpole mzee .. Kuna nafasi nyingi sana Kwenye hiyo field hasa upande wa Conservation... NCAA, TANAPA etc... Wapo wanaopata na kufanikiwa katika kila course... Na wapo wanaochemka kwa maelfu pia kwenye kila course .. Usikatishe watu tamaa
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Feb 23, 2025 #4 Issue za Carbon 14
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Feb 23, 2025 Thread starter #5 Ud bado wanatoa hiyo kozi tu
M MZAWA JF JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 4,491 Reaction score 3,996 Feb 23, 2025 #6 Mad Max said: Issue za Carbon 14 Click to expand... Carbon 14 Director
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 23, 2025 #7 Wanajua wenyewe