Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Twende tukanywe supu sasaNilijua umezimika kwa vinywaji. Kumbe uko fresh.
Kheri ya mwaka mpya mtani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende tukanywe supu sasaNilijua umezimika kwa vinywaji. Kumbe uko fresh.
Kheri ya mwaka mpya mtani.
Osho pmSheekya namba yafo!
Tangulia nakujaTwende tukanywe supu sasa
Twende woteTangulia nakuja
Hahahaaaaaaa.Twende wote
Wanazingua sana hawa maraia ...Usishangae mdau shetani nae ana wafuasi wake hawasikii mweka hadhini wala mnadi sala
Acha uongo gout inakuhusuLeo ni siku ya saba naishi kwa kuchoma nyama za mbuzi hapa nyumbani na kunywa castle larger baridi!
Hizi nyama na castle larger baridi nakesha nazo sikukuu hii tu mkuu baada ya hapo ni dona kwa mchicha uliochemshwa!!Acha uongo gout inakuhusu
Kicha otaramoSheena nden shamewuya nkaa kigamboni
[emoji1] [emoji1] [emoji87] [emoji86]Hizi nyama na castle larger baridi nakesha nazo sikukuu hii tu mkuu baada ya hapo ni dona kwa mchicha uliochemshwa!!
UnanichekaHahahaaaaaaa.
Hapana mtani nimefurahi.Unanicheka
Njoo unifurahishe nammHapana mtani nimefurahi.
Wacha weeeeNjoo unifurahishe namm
Tunakunywa supu mkono upo kwny paja...tabasamu kubwaa mwaka umeanza kwa shamrashamraWacha weeee
Ningewaza kwamba, baada ya kukurudisha umetoka tena...
Hujambo mchumba[emoji6]Kwako nimefika asilani.....sitorudi nyuma.
Kwako nimeweka nukta na kituo.
Niliyokuwa nayahitaji yote nimeyapata ambayo wengine walishindwa yatimiza.
Nakupenda sana Smart911 nimefunga mwaka nawe na naunza mwaka mpya nawe niko pamoja nawe kila mahali, niko nawe popote uendako.
Pamoja na mengi wasemayo wafitini masikio nimewazibia nakusikiliza wewe tuu.
Mpenz wangu wa moyoni nikupendae pendo la rohoni na pendo la kweli.
Wengi walishangaa nimepotea humu kwa siku kadhaa hapa nawafahamisha kuwa wewe ndo uliyenificha na katu sitohadaika.
Hadhira hii ya MMU itambue kuwa Nyani Ngabu aka James Jeddah ni historia, kurasa zao zilishafungwa aka zilipendwa na kwa Kasinde historia huwa haijirudii na hata kama inajirudia kwa Smart911 hakuna nafasi hiyo......
cc: Smart911