Au Kibuisa Mpipa.Nadhani anamaanisha :Operation Dragon'
Huo wimbo unaitwa Neema autafute vizuriNimekumbuka yenyewe mwishoni inaisha hivi
"WANAINCHI MNASEMAJEE!!,SEMA,SEMA,SEMA
Niya hao hao diamond Sound?Huo wimbo unaitwa Neema autafute vizuri
hebu usikiize huo ulioandikwa sebene
Mkuu huo wimbo kaimba Sam Mapangala na bendi take Orchestra Virunga.Habar mkuu naomba nyimbo ya Vunja mifupa bado meno ipo,Pepe Kalle -roggermilla
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ngoma acha kabisaNaomba unipatie kibao kinachoitwa kesi ya kanga by ndala kasheba mkuu
Mkuu naomba nyimbo za Jean Baron kwa kadri utakavyokuwa nazo/zipata..ahsante