Unatafuta ushahidi wa mapenzi ya Wazanzibari kwa Maalim?

Unatafuta ushahidi wa mapenzi ya Wazanzibari kwa Maalim?

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
LEO SIKU IMETIMU NA ALLAH KADHIHIRISHA KILA KITU BURIANI MAALIM

Unatafuta ushahidi wa mapenzi ya Wazanzibari kwa Maalim?

Hili ndilo jibu.

Hayajapata kuonekana Zanzibar maziko kama haya.

Hawa ndiyo waliokuwa wakimpa Maalim ushindi mmoja baada ya mwingine, mmoja baada ya mwingine, katika chaguzi zote sita za Urais wa Zanzibar alizoshiriki kuanzia uchaguzi wa 1995 hadi 2020.

Maalim kaacha historia ambayo si rahisi kwa kiongozi yeyote kuifikia.

Si leo wala kesho.
Screenshot_20210218-180758.jpg
IMG-20210217-WA0291.jpg
 
LEO SIKU IMETIMU NA ALLAH KADHIHIRISHA KILA KITU BURIANI MAALIM

Unatafuta ushahidi wa mapenzi ya Wazanzibari kwa Maalim?

Hili ndilo jibu.

Hayajapata kuonekana Zanzibar maziko kama haya.

Hawa ndiyo waliokuwa wakimpa Maalim ushindi mmoja baada ya mwingine, mmoja baada ya mwingine, katika chaguzi zote sita za Urais wa Zanzibar alizoshiriki kuanzia uchaguzi wa 1995 hadi 2020.

Maalim kaacha historia ambayo si rahisi kwa kiongozi yeyote kuifikia.

Si leo wala kesho.View attachment 1705663View attachment 1705665
Hili liko wazi,
Huu umati hautokaa utokee kwa mwengine.
Sema ndo hivyo tena Bwana Jecha na Nduguze waliofuata wakaamua lao la kuamua.
 
Maalim ni ni chaguo la Wazanzibar ambalo watawala waliochokwa na wananchi hawakutaka kumpa haki yake. Lakini ataipata haki yake kwa Allah...InshAllah.

Allah amjaalie kauli thabit Maalim Seif kipenzi cha Wazanzibar
 
Seif alipendwa sababu ya kukisimamia alichokuwa akikiamini. Falsafa ya maisha inasema hivi, "siku zote ukitaka kufanikiwa, ishi kwa taratibu na kanuni ulizojiwekea wewe mwenyewe, ila ukiamini ziko sahihi. Seif aliishi hivyo.

Moyo wa seif ulikuwa na tattoo ya Zanzibar. Sio Mtutu wa bunduki wala pesa, vyote havikuwahi kumshawishi aunge juhudi. Acha maalim apumzike. Watu aina ya Seif, wanazaliwa kwa nadra sana siku hizi kwenye hii dunia ya dhambi.
 
LEO SIKU IMETIMU NA ALLAH KADHIHIRISHA KILA KITU BURIANI MAALIM

Unatafuta ushahidi wa mapenzi ya Wazanzibari kwa Maalim?

Hili ndilo jibu.

Hayajapata kuonekana Zanzibar maziko kama haya.

Hawa ndiyo waliokuwa wakimpa Maalim ushindi mmoja baada ya mwingine, mmoja baada ya mwingine, katika chaguzi zote sita za Urais wa Zanzibar alizoshiriki kuanzia uchaguzi wa 1995 hadi 2020.

Maalim kaacha historia ambayo si rahisi kwa kiongozi yeyote kuifikia.

Si leo wala kesho.View attachment 1705663View attachment 1705665
Kuna mzee alisema kuna Kinjikitile, Nyerere na Maalim
 
LEO SIKU IMETIMU NA ALLAH KADHIHIRISHA KILA KITU BURIANI MAALIM

Unatafuta ushahidi wa mapenzi ya Wazanzibari kwa Maalim?

Hili ndilo jibu.

Hayajapata kuonekana Zanzibar maziko kama haya.

Hawa ndiyo waliokuwa wakimpa Maalim ushindi mmoja baada ya mwingine, mmoja baada ya mwingine, katika chaguzi zote sita za Urais wa Zanzibar alizoshiriki kuanzia uchaguzi wa 1995 hadi 2020.

Maalim kaacha historia ambayo si rahisi kwa kiongozi yeyote kuifikia.

Si leo wala kesho.View attachment 1705663View attachment 1705665

Apumzike kwa amani
 
Seif alipendwa sababu ya kukisimamia alichokuwa akikiamini. Falsafa ya maisha inasema hivi, "siku zote ukitaka kufanikiwa, ishi kwa taratibu na kanuni ulizojiwekea wewe mwenyewe, ila ukiamini ziko sahihi. Seif aliishi hivyo.

Moyo wa seif ulikuwa na tattoo ya Zanzibar. Sio Mtutu wa bunduki wala pesa, vyote havikuwahi kumshawishi aunge juhudi. Acha maalim apumzike. Watu aina ya Seif, wanazaliwa kwa nadra sana siku hizi kwenye hii dunia ya dhambi.
ukwel huoo
 
Kuna tetesi zinasema kwamba Maalim alimchoma Marehemu Abdul Jumbe alipotaka kuitoa Zanzibar toka kwenye Muungano, ndio ikapelekea Jumbe kutolewa uanachama na urais wa Zanzibar.
 
LEO SIKU IMETIMU NA ALLAH KADHIHIRISHA KILA KITU BURIANI MAALIM

Unatafuta ushahidi wa mapenzi ya Wazanzibari kwa Maalim?

Hili ndilo jibu.

Hayajapata kuonekana Zanzibar maziko kama haya.

Hawa ndiyo waliokuwa wakimpa Maalim ushindi mmoja baada ya mwingine, mmoja baada ya mwingine, katika chaguzi zote sita za Urais wa Zanzibar alizoshiriki kuanzia uchaguzi wa 1995 hadi 2020.

Maalim kaacha historia ambayo si rahisi kwa kiongozi yeyote kuifikia.

Si leo wala kesho.View attachment 1705663View attachment 1705665

Pamoja na kutokukubaliana nae kwenye itikadi Maalim Seif Sharif Hamad anabaki kuwa mwanasiasa imara sana, mwenye mtaji mkubwa, mwenye msimamo thabiti kwa kila anachokiamini na asiyekubali kushindwa!

Tanzania imepoteza💔

Lala salama Maalim Seif Sharif Hamad, mwendo umeumaliza🙏
 
Seif alipendwa sababu ya kukisimamia alichokuwa akikiamini. Falsafa ya maisha inasema hivi, "siku zote ukitaka kufanikiwa, ishi kwa taratibu na kanuni ulizojiwekea wewe mwenyewe, ila ukiamini ziko sahihi. Seif aliishi hivyo.

Moyo wa seif ulikuwa na tattoo ya Zanzibar. Sio Mtutu wa bunduki wala pesa, vyote havikuwahi kumshawishi aunge juhudi. Acha maalim apumzike. Watu aina ya Seif, wanazaliwa kwa nadra sana siku hizi kwenye hii dunia ya dhambi.
na hili ni funzo kwa tanganyika, Tundu lisu ni zao pekee baada ya baba wa taifa
 
Kuna tetesi zinasema kwamba Maalim alimchoma Marehemu Abdul Jumbe alipotaka kuitoa Zanzibar toka kwenye Muungano, ndio ikapelekea Jumbe kutolewa uanachama na urais wa Zanzibar.
Siyo tetesi ni kweli yeye ndiye aliyeiba nyaraka za jumbe juu ya serikali tatu pamoja na bendera, baada ya Jumbe kuondolewa aliteuliwa kuwa waziri kiongozi na baada ya mwinyi kuondoka yeye alihisi alistahili kuwa rais wa Zanzibar ila aliteuliwa Idrisa Abdul wakil ambaye ana historia ya kupata kura chache zaidi kwenye mfumo wa chama kimoja kwani wapemba wengi hawakumpigia kura na alikaa muhula mmoja tu hapo ndio figisu zilianza kwani wapemba wengi waliamini yeye alistahili kuwa rais wa Zanzibar wakati wahifidhina wa unguja.waligoma hawakutaka kutawaliwa.na.mpemba wakisema wanandamu ya.kiarabu ya Oman
 
Siyo tetesi ni kweli yeye ndiye aliyeiba nyaraka za jumbe juu ya serikali tatu pamoja na bendera, baada ya Jumbe kuondolewa aliteuliwa kuwa waziri kiongozi na baada ya mwinyi kuondoka yeye alihisi alistahili kuwa rais wa Zanzibar ila aliteuliwa Idrisa Abdul wakil ambaye ana historia ya kupata kura chache zaidi kwenye mfumo wa chama kimoja kwani wapemba wengi hawakumpigia kura na alikaa muhula mmoja tu hapo ndio figisu zilianza kwani wapemba wengi waliamini yeye alistahili kuwa rais wa Zanzibar wakati wahifidhina wa unguja.waligoma hawakutaka kutawaliwa.na.mpemba wakisema wanandamu ya.kiarabu ya Oman
Rodrick...
Stori hii ya kuibiwa hiyo barua kama ulivyoeleza ndiyo historia mashuhuri.

Lakini kuna upande mwingine wa mkasa huu unaosema aliyefanya hayo ni mtu mwingine na baadhi ya watu huko Zanzibar wanamfahamu.



Huyu mtu alilipwa vyema na bado yu hai na kashika nafasi nyingi kubwa visiwani.

Hii barua Mzee Jumbe alirudishiwa kimiujiza akaikuta ofisini kwake nyumbani kwake Migombani.

Mzee Jumbe kanieleza haya na nilifika nyumbani kwake Zanzibar na nimeona hapo ilipowekwa hiyo barua.

Waliorudisha barua hii ni watu wasiojulikana.

Katika taazia niliyomwandikia Mzee Jumbe nimeeleza mkasa huu wa barua ambayo Mzee Jumbe kwa maskhara aliipa jina, "The Long Letter."

Hii ndiyo barua aliyoitumia kuandika kitabu chake, "The Partnership."
 
Rodrick...
Stori hii ya kuibiwa hiyo barua kama ulivyoeleza ndiyo historia mashuhuri.

Lakini kuna upande mwingine wa mkasa huu unaosema aliyefanya hayo ni mtu mwingine na baadhi ya watu huko Zanzibar wanamfahamu.

Huyu mtu alilipwa vyema na bado yu hai na kashika nafasi nyingi kubwa visiwani.

Hii barua Mzee Jumbe alirudishiwa kimiujiza akaikuta ofisini kwake nyumbani kwake Migombani.

Mzee Jumbe kanieleza haya na nilifika nyumbani kwake Zanzibar na nimeona hapo ilipowekwa hiyo barua.

Waliorudisha barua hii ni watu wasiojulikana.

Katika taazia niliyomwandikia Mzee Jumbe nimeeleza mkasa huu wa barua ambayo Mzee Jumbe kwa maskhara aliipa jina, "The Long Letter."

Ingia hapa kwa taazia ya Mzee Jumbe:


Hii ndiyo barua aliyoitumia kuandika kitabu chake, "The Partnership."
Angalia picha:
Screenshot_20210219-072618.jpg
Screenshot_20210219-072801~2.jpg
 
Rodrick...
Stori hii ya kuibiwa hiyo barua kama ulivyoeleza ndiyo historia mashuhuri.

Hii ndiyo barua aliyoitumia kuandika kitabu chake, "The Partnership."

Umetufungua macho Wallahi.

Inshallah siku moja ututajie jina la huyo mtu.
 
Umetufungua macho Wallahi.

Inshallah siku moja ututajie jina la huyo mtu.
Biti...
Huwezi kufanya hivyo pasi na sababu ya maana.

Linalotakiwa kufanywa ni utafiti wa kina na katika utafiti ndipo anakabiliwa kuombwa taarifa kwa mkasa huu akielezwa kuwa katajwa.

Akitoa ushirikiano na kusema ukweli utafiti utakuwa umefanikiwa.

La kakataa mtafiti ataeleza kisa chote kama alivyokipata.
 
Back
Top Bottom