sawa naludia kama kitu kisipo ludiwa unataka watu wasijue au nimefichua software inapo patikana au we ndipo unapo pata hela
sikasiliki mi na songa mbele akuna mtu aliyekuwa bora ata we unamapungufu ukitaka kujua kilaza njoo tuonane ana kwa ana tuone kilaza nani
hapa akuna kujisumbua?
kijana history nini ukijua utapata jibu
na nini maana ya communication
asante
pole sana
Edjizzo, Edjizzo, Edjizzo, It is regrettable tosay that you know nothing about the contents ambazo zipo kwenye linki hii
Download Huawei Torrents - KickassTorrents.com
Experts say we all lie more than we realize.Futhermore, the more often we tell the same lie, the more we forget it is a lie. If we repeat it enough, we may even believe the lie is actually the truth.
If you want to improve anything ambacho tayari kilikuwepo hapa jf or kukifanya kiwe more disirable by making it smartter! then you are welcome, tuletee ZTE(K3565-z) modem unlocker. I say you are welcome na usiwe unatishia kukimbia pale unapopata challenge.
Nataka nikuambie kitu kimoja Edjizzo, Wheather teaching Jamii forums, au kama unataka kuwapa watu elimu, you must do everything you can to
hold the Jamii forums members
attention and get your point across. na sio kila thread unayofungua kunakuwa na blabla bla...
ukitaka watu hapa jamii forums wakukubali vizuri ungeanza kwanza wewe kuwakubali. Mfano ulipomwambia dr phone " au ndipo unapopata hela" sikia mkuu kinachofanyika hapa jamii forums hakimpotezei chochote katika kazi zake nafikiri amejiandaa na hataathirika na chochote atakama utaweka software yenye
RED big buttons yenye kusomeka "
UNLOCK DONE HERE" muheshimu na yeye atakuheshimu.
wewe ni mkali ndio tena nafkiri kuliko watuwengi humu ndani lakini tatizolako wewe unakwenda kasi mpaka unapitiliza. Really you are trying to run before walking!