Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Ndo ufanye siku 2,3 mfululizo?
Labda kama unatumia nguvu zako mwenyewe na sio kutumia madawa

Uje kuumwa blood pressure kwa kumfurahisha mwajuma, Amina?

Waswahili hawakukosea kusema "Kimoja kinatia mimba"
🀣🀣 eti kimoja kinatia mimba
 
Unataka malipo kwa kutaja dawa ambayo hujachangia chochote katika uvumbuzi wake? Au utatoa na mzigo pia baada ya mtumiaji kutumia dawa?

Halafu nigonge siku mbilli ili iweje? Iwe kwa nia ya kutia mimba au kustareheka, kinachohitajika na bao 1 tu, hayo menigne ni kujitesa tu.
 
Kama hutangazi biashara Kwanini unaficha jina la dawa? Unajenga mazingira ya rushwa utafutwe pm.
 
Mimi nimeshare idea..sikua na nia ya kutaja Dawa na nimeona nikitaja dawa pengine huko madukani patakua na foleni na pengine wengine wakaitumia vibaya na kupata madhara. Nisamehe mimi punguza hasira hahaha
 
Frankly speaking hii jina ndio naisikia leo...so yeyote atakae lifata for his own risk
sio unasikia leo hata uki google, au ukienda wikiped watakupa maelezo ni viagra moja matata sana kwenye packt vinakaa vinne ni rangi ya blue, wee watu tupo kwenye game kitambo tunajua chocho zote za haya mambo kwa kumsaidia mtumiaji nyingine zinaitwa blue pill hz dawa ni nouma hizo anazotolea maelezo jomba zikasome unafichaficha unataka kugundua nn sifa ya mwanaume weka waz mambo wana waruke nayo
 
viagra hizo hapana bora vumbi tu
 
Mimi nayosema hukaa 1 tu mzee, na nimelezsa kitu ambacho nina uelewa nacho kwa kiasi...hivi vyako nimevisikia nami napokea kujifunza hakuishi kiongozi ila kila mtu asimamie anachokielewa zaidi., kama hutojali tengeneza uzi au kuepusha nyuzi nyingi za haya tengeneza elaboration ndefu ukizungumzia expirience yako na hizo uweke humu kwenye huu uzi tujifunze zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…