Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,421
- Thread starter
- #21
Nimepigia mstari tu kaka......................Mgombezi acha ujinga wewe, Nani kakwambia kua ni lazima ukipata mwingine atakua na matatizo zaidi? Hizo ni imani mbovu zinazowafanya wanandoa wasiwe na amani kakti maisha yao, wawe watumwa wa wenzao, na kufanya mapenzi nje ya ndoa zao. Uvumilivu unakikomo bwana, baada ya hapo hakuna mapenzi tena...ni mateso tuu!